Nani wakulaumiwa kuwa wahindi wanaimaliza nchi na wazalendo kukosa kitu??
Sisi ngozi nyeusi ndo tunajimaliza wenyewe, Mhindi anaongoza kwa kutoa cha juu. Tubadili tabia sote watz hasa ngozi nyeusi viongozi na vijana wote.
Umaskini wetu na njaa za laki tano au nne zinatumaliza.
Sisi ngozi nyeusi ndo tunajimaliza wenyewe, Mhindi anaongoza kwa kutoa cha juu. Tubadili tabia sote watz hasa ngozi nyeusi viongozi na vijana wote.
Umaskini wetu na njaa za laki tano au nne zinatumaliza.