mchambuzixx
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 1,292
- 943
eti walikuja tanzania kuwekeza kwenye reli mhhhhView attachment 41967
Hiyo ngoma inatoka Delh mpaka Luthusiana au Amrisa mpakani mwa India na Pakistani..Umenikumbusha mbali sanaaa na hicho ni kipindi cha joto sana watu wantembea na vidumu vya maji...Lollll India balaaa hata kwenye mabasi ndo hivyo hivyoeti walikuja tanzania kuwekeza kwenye reli mhhhhView attachment 41967