TZ biashara
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 523
- 107
Mchaga, mhindi, mwarabu, hapa ni hela tu. Not love.
Well said ... money talk
Wenye kulalamika ujue wameishiwa na nguvu za kufikiri au wamezeeka sasa wanakata tamaa kabisaaa
Mchaga, mhindi, mwarabu, hapa ni hela tu. Not love.
hongera umeongeza idadi ya post hata kama ulichoandika ni upuuzi...a great stinker!!!! ppuuuu!!!
nashangaa hivi JF inaelekea wapi, awali lilikuwa ni jukwaa la kujifunzia ya maana lakini tangu pavamiwe na watu wapuuzi busara imekaa kando na upumbavu umetamalaki kila pahala....what a shame!!!!!