Ukweli unabaki kuwa ukweli................sisi weusi ndiyo tunawabagua wahindi au wao ndiyo tunawabagua?
Ila ninaachowasifu kitu kimoja, ukiona biashara ambayo muhindi hafanyi, basi usifanye kwakua hutapata maendeleo nayo....muhindi hauzi mkaa bwana!
- 90% ya migogoro yote ya ardhi nchini ni wahindi kutaka kuzulumu ardhi...tuitaje muone
- Migogoro ya serikali ya mahoteli kukwepa kulipa kodi hasa huko mbugani, wao
- Wewe una demu wa kihindi au unamjua mweusi mwenye demu wa kihind?
- Wameshaingia bungeni, bado kugombea uraisi, india utaweza fanya hivyo hata kama babu yako alizaliwa kule?
- Ukifanya kazi kwa muhindi na mihindi, hata kama umemzidi cheo lakini yeye atakuzidi mshshara hata mara 3
- Nyumba za NHC za mjini ni maalumu kwa wao tu, mbona sio majirani zetu mbagala, tandika, manzese, kwa mtogole?
- Hali za House girls wanaofanya kwa wahindi, na wanavyolipwa na kutuwa mnazijua vile zilivyo mbaya?
- Vibarua wafanyao kazi kwa wahindi, hufanya kazi karibu masaa 12 kwa siku malipo duni, kunyanyaswa na pengine hawana ajira ya kudumu.
- wewe jumaaaa, veve tapeleka mama nyumbani halafu tasaidia yeye fua guo. kishamaliza veve halafu fata mimi
- Dalali wa rada, muhndi
- Mmiliki wa dowans....sikumbuki wa wapi
- Uuzwaji tata wa majengo ya nssf...!
- Halafu kwenye foleni za benki au kwenye foleni za ATM siwaoni sikuhizi.
Ila ninaachowasifu kitu kimoja, ukiona biashara ambayo muhindi hafanyi, basi usifanye kwakua hutapata maendeleo nayo....muhindi hauzi mkaa bwana!