MfisadiMkuu
Member
- May 26, 2009
- 8
- 1
Serikali ya chama chako cha ccm imeshindwa kuboresha huduma za afya nchini.
Viongozi wakiugua hata mafua tu wanakimbizwa india, wengine wanakaa hadi miezi mitano, wengine wameruhusiwa kutoka hospitali lakini wanang'ang'ania kubaki wodini!
Shame on you FF na magamba yako.
Haya maneno yaku yanasikitisha sana maana serikali ya Tanzania ni ya mfumo wa vyama vingi no sio CCM tu. Kama cjama cha FF imeshindwa mbona usipeleke madai yako kwa mbunge wako au kwa mwanasiasa amabaye siye wa CCM kuliko kumsuta FF amabaye ana haki ya kuwa mwanachama wa chama yeyote iliyesajiliwa kihalali hapa TZ. mimi naona sisi discusion zetu humu zaidi ya ni kitoto kuliko kujadildiana kiutu uzima na kujikomboa. Well I can only say one thing:- Shame on us, kuwasingizia watu wengine matatizo yetu !!!!!