Technician
JF-Expert Member
- Mar 30, 2010
- 841
- 222
Nimeshangaa sana uwanja mzima wa Karimjee kumefurika watu vibaya sana lakini
sijapata kuona mhindi au mwarabu hata mmoja pale.
Ina maana hawakupata taarifa za mazishi ya mpambanaji wa CHADEMA?AU hawajihusishi
na mazishi ya watu weusi?
Nimemuona mzungu mmoja tuu pale.mpaka naanza safari ya kuodoka uwanjani.
R.I.P Regia Mtema
sijapata kuona mhindi au mwarabu hata mmoja pale.
Ina maana hawakupata taarifa za mazishi ya mpambanaji wa CHADEMA?AU hawajihusishi
na mazishi ya watu weusi?
Nimemuona mzungu mmoja tuu pale.mpaka naanza safari ya kuodoka uwanjani.
R.I.P Regia Mtema