Last edited by a moderator:
Hahahaaaa aisee sawa bhana ila unauficha ukweli...!
Msalimie sana Yummy mwambie aniletee bibie wangu nataabika na baridi ya Mt Meru
Hehehee hivi Mr Rocky unadhani nina hao tu?
Heheheee usipate shida na mimi.....! Kila kitu ni wito madame...wanawake ni wachache duniani so lazma tuhakikishe wanafit idadi yetu... Mr Rocky mwenyewe ana kila kona hadi Meatu lolMhhhh!!! Erickb52 naanza kupata mashaka. Wote hao?
Nahitilifiana na Kikwete katika sera zake nyingi na utekelezaji wa masuala yanayohusu uendeshaji wa serikali ya awamu yake; lakini kwa hili la kurejesha JKT anastahili pongezi kama kweli atalitekeleza. Hilo likikamilika bila kuchakachuliwa atakuwa ameandika historia ya moja ya mambo mazuri aliyolifanyia taifa.Kwani JKT inaanza lini rasmi?
Heheheee usipate shida na mimi.....! Kila kitu ni wito madame...wanawake ni wachache duniani so lazma tuhakikishe wanafit idadi yetu... Mr Rocky mwenyewe ana kila kona hadi Meatu lol
Hahahaaaa aisee sawa bhana ila unauficha ukweli...!
Msalimie sana Yummy mwambie aniletee bibie wangu nataabika na baridi ya Mt Meru
nimeipenda sana hii