majorbanks
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 228
- 66
Wakuu
Nadhani neno wahenga wetu si geni sana miongoni mwetu na wengi wetu tumeshuhudia ukweli uliomo kwenye maono yao kupitia misemo,nahau,methali na mengine mengi.
Kuna wakati najiuliza,je hawa watu waliexist kwenye nchi yetu hii?
Na kama kweli walikuwa ni miongoni mwa Watanganyika,iweje leo hii nchi yetu imeshindwa kuwa na kizazi chenye chembechembe za upeo kama wao?
Upeo wao ni wa hali ya juu sana kiasi kwamba kulikuwa na nafasi ya nchi yetu kuwa mbali na hapa tulipo!!
Nadhani neno wahenga wetu si geni sana miongoni mwetu na wengi wetu tumeshuhudia ukweli uliomo kwenye maono yao kupitia misemo,nahau,methali na mengine mengi.
Kuna wakati najiuliza,je hawa watu waliexist kwenye nchi yetu hii?
Na kama kweli walikuwa ni miongoni mwa Watanganyika,iweje leo hii nchi yetu imeshindwa kuwa na kizazi chenye chembechembe za upeo kama wao?
Upeo wao ni wa hali ya juu sana kiasi kwamba kulikuwa na nafasi ya nchi yetu kuwa mbali na hapa tulipo!!