Huyu JK bomu kabisa kwa akili yake issue kama hiyo alisubiri hadi aalikwe kwenye sherehe kama ile ndio aseme?????ukweli uko palepale hata kama vijana wa nepi hamtaki kukubali hili rais ni dhaifu rist za wala rushwa na madawa si anazo???????amechukua hatua gani????????yuko usingizini.