Wahariri watunukiwa saccoss baada ya kuhamasisha maandamano

OgwaluMapesa

JF-Expert Member
May 24, 2008
10,942
428
Taarifa za kiintelejensia kutoka vyanzo muhimu vilivyo karibu na Katibu wa Jukwaa la Wahariri VINAELEZA KUWA baada ya kukamilisha suala la maandamano yenye lengo la kuichafua serikali na polisi wahariri wamepewa kile kinachoelezwa kuwa ahadi ya muda mrefu kutoka kwa mfanyabiashara mmoja nchini na hivyo sasa kuwa na SACCOS yenye mtaji mkubwa na ambayo itatoa fedha zake kwa kutazama aina ya wahariri na mchango wao katika kufanikisha matakwa ya mfanyabiashara huyo ndani ya serikali na nje ya serikali yaani katikia upinzani.

Taarifa zaidi zitaendelea kutolewa hapa kwa sasa nawahi kibarua.
 
Jana katika taarifa ya habari, kumeonekana Mtendaji wa IPP ambaye pia anamiliki gazeti la Nipashe ameamua kuwainua wahariri kwa kuwapa mamilioni ya shilingi wahariri ambao wanalipwa pesa nzuri na marupurupu mengine. Je kuna ulazima kwake kuwapa zaidi badala ya kuwasaidia waandishi ambao wengi wao hwana mbele wala nyuma.
 
Pesa atafute yeye matumizi umpangie wewe....! watanzani bwana........haya subiri michango ya GT
 
Jana katika taarifa ya habari, kumeonekana Mtendaji wa IPP ambaye pia anamiliki gazeti la Nipashe ameamua kuwainua wahariri kwa kuwapa mamilioni ya shilingi wahariri ambao wanalipwa pesa nzuri na marupurupu mengine. Je kuna ulazima kwake kuwapa zaidi badala ya kuwasaidia waandishi ambao wengi wao hwana mbele wala nyuma.
Kama zingekuwa ni pesa kutoka Serikalini ningepata la kusema, ila kwa kuwa ni pesa zake yeye mwenyewe(Mengi) then mwache aset priorities zake za matumizi kwa jinsi anavyotaka.
Hata akiamua kuwapa akina Bakhresa, Ruksaaa.
 
Taarifa za kiintelejensia kutoka vyanzo muhimu vilivyo karibu na Katibu wa Jukwaa la Wahariri VINAELEZA KUWA baada ya kukamilisha suala la maandamano yenye lengo la kuichafua serikali na polisi wahariri wamepewa kile kinachoelezwa kuwa ahadi ya muda mrefu kutoka kwa mfanyabiashara mmoja nchini na hivyo sasa kuwa na SACCOS yenye mtaji mkubwa na ambayo itatoa fedha zake kwa kutazama aina ya wahariri na mchango wao katika kufanikisha matakwa ya mfanyabiashara huyo ndani ya serikali na nje ya serikali yaani katikia upinzani.

Taarifa zaidi zitaendelea kutolewa hapa kwa sasa nawahi kibarua.

Kila kitu kinatolewa kwa wakati muafaka. Kazi waliotumwa wamemaliza sasa wasipewe chao?
 
Back
Top Bottom