Wahariri wa Vyombo Vya Habari wafukuzwa Malaika Hotel Mwanza?

Riz1 anaogopa hata kukaa na wahariri wa vyombo vyetu vya habari? Basi na wao wafanye strike ya kutoandika habari zake pia wamshtaki mwenye hotel kwa hatua zake za kibaguzi
 
Riz One unachafua jina la Baba Yako na la Ukoo wako katika jamii ya Watanzania.Kwa kuwa nidhamu yako ya leo kwa Umma ni akiba ya kizazi cha Baba Yako, wewe na wadogo zako kwa siku zijazo zisizo na jina.Shauri yako muda utasema endelea kulimbikiza majeruhi wako.Ukiwafuata wanaokuzunguka wanakuponza stay away from destroyers.
Arafa wakili 377.jpg
 
mkuu vyovyote vile lakini habari hii huwezi kumlaumu Ridhiwani...
mwenye hoteli alikuwa na mamlaka ya kukataa ugeni wa Ridhiwani na kutetea wateja wake wengine
tusikimbilie kulaumu watu tu.Kama yeye Ridhiwani yuko convinced anahitaji security
ya uhakika kwa maisha yake sisi wengine tunaweza vipi kusema hakuna haja ya hilo??????

wanaosema Ridhiwani ni nani ni wapumbavu, hata watoto wa Obama wanapewa security...
muhimu ni kuzingatia hiyo security iko vipi, cost zake,na ni vipi haitakuwa kero kwa wengine
kwa hili aliesababisha kero sio Ridhiwani ni wamiliki wa hoteli

bt why anaishi kwa wasiwasi sana? Mbona watoto wa marais waliotangulia hawakuvuma km huyu? Therez smthng very wrong somewhere na akicheza itakuja kumcost. Kwani angekaa hotel moja na hao wahariri angekufa au kuna anachoficha? Am confused anyway ngoja nkalale manake.....mwee!
 

Nakubaliana nawe Mkuu, ilibidi wagome kufukuzwa mpaka kieleweke. Ridhwan hana haki zaidi ya kufikia hotel hiyo ukilinganisha na hao wahariri.
Yale maneno "MANAGEMENT RESERVES THE RIGHT FOR ADMISSION" kumbe huwa yanatumika..
 
Hawa watu hawajifunzi ya Libya? Hivi wanajiamini nini hawa? haki ya nani mimi ntachukua kichwa chake siku mambo yakigeuka...........I HATE THIS GOVERNMENT ni ubabe,uonevu,ufisadi hv watanzania tumekosa nini? sasa jf hebu organize maandamano tuwatoe hawa watu madarakani.
nawasilisha
 
Tatizo ni kodi zetu zinatumiwa ndivyo sivyo na vipaumbele ambavyo havitusaidii walalahoi wala havileti naendeleo. Yawezekana mkulu kakata tamaa ya kutimiza ahadi zake hivyo inambidi alinde wanae wasiwagadafi. Mwenye hoteli aombee mungu ili hao wahariri wasimshitaki kwa kukiuka mkataba na usumbufu
 
Mhariri wa chombo cha habari si mtu mdogo katika jamii kudhalilishwa kiasi hiki, ni kiongozi wa muhimili wa nne wa dola, hapa kwetu wasema usio rasmi, vyovyote iwavyo, si mtu wa kurushwa ruswa ama kufanywa kama vile si kitu katika jamii, kumbuka " a pen is mightier than a sword" yeyote anayecheza na muhimili huu wa nne ni kwamba haelewi anacheza na nini!

Lakini pia ni jukumu la muhimili huu kujua nafasi yake katika jamii, si tu kuijua bali kuisimamia na kuitetea, bahati mbaya sana kwa muhimili huu ni kwamba hauna wa kumsemea matatizo yake, hivyo hauna budi kujisimamia na kujitetea wenyewe, haiwezekani leo hii ugeuzwe kuwa kama si kitu katika jamii yetu, kwamba mtu anaweza jitokeza kokote na kuamua lolote na bado wakakaa kimya! yawezekana ni watu wenye matatizo makubwa katika jamii lakini ni wapi au nani watamlilia? ni kama machozi ya samaki, yanaenda na maji.

Nadhani ni jukumu la wahariri wetu kuwa na msimamo usioyumbishwa wakati wowote, leo hii umetolewa nje kwa sababu ya fulani, je kesho itashindwa vipi ikiwa leo imewezekana? yeyote kwa sababu yoyoye aweza kuja na kufanya vivyo hivyo, je watakataa? Mi nawaheshimu sana wahariri na majukumu yao, sidhani kuwa ni sahihi kubughudhiwa hivyo, sidhani, ifike mahali mdai heshima na hadhi yenu.
 
Nisaidie waungwana, hivi Riz anaogopa majambazi au watanzania maana hakuna historia nchini mwetu mtoto au mke wa Rais kuandamwa ukiacha Yule mama aliyeanzisha mradi wa NGO pale ikulu na wenzie wakafuatia. Halafu mi nashindwa kumuelewa Riz, hivi wenzake mbona wametulizana yeye ndo anajifanya mrithi?
 
Inahusu nini mambo ya riz1 daily,nchi hii tuna matatizo mengi zaidi ya rizy! Tuandamane kuondoa matatizo sugu kwanza, umeme,mfumuko wa bei,ajira hamna,umaskini,ufisadi...
 
Duh..Hii nchi yetu inakoelekea......hali inatisha....hata uthubutu wa kulihusisha jina la Ridhiwani na vitendo kama hivi, ni wakati muafaka kwa kijana mwenzangu kujiuliza maswali mawili matatu nini nafasi yake katika taifa letu. Remember what goes around comes around. Isije ikatokea kesho baba anapoteza madaraka wewe unakuwa public eenemy number one!
 
Kodi zetu zina mlinda Riz?hapo sasa wanataka kuleta mengine,Tena watu wanafukuzwa kumpisha Riz?kidogo bado haingii akilini,ina maana kesho tutazuiwa kupita barabarani na madaladala yetu ili yeye apite?hivi hii imekaaje?bado inagoma kuingia akilini,kwani akitoka ikulu baba riz itakuwaje?bado atapatiwa ulinzi?lakini niulinze Mwl Nyerere wanae wanalindwa pia? kama hawalindwi kwa nini,na je wanalindwa kwa gharama zipi?budget inapitishwa bungeni au,lakini hili jambo naomba kueleweshwa vizuri.
 
Kumbe kosa ni la uongozi wa Hoteli, wameamua wenyewe kumpa heshima Rizione, kosa lake liko wapi hapo!.
 
Great thinkers .Let me share my personal experience juu ya ujinga huu kama kweli umetokea hapo Mwanza .Mwaka 2000 nilifikia Mwanza hotel .Mchana nikawa nimeshuka kula na mie na jamaa yangu nikachagua mahali pa kukaa.

Nikiwa karibia nianze akaja mtu anawaka .Nikashangaa kidogo akasema simama simama tafuta mahali pengine eneo lote hili anakuja waziri ni wiki ya Maji na inafanyika Mwanza na by that time alikuwa Paul Kimiti .Kusikia vile nikamuuliza huyo ni waziri wa wanyama au watu ? Nikamuuliza mie nalipa mawe yeye pesa ? Nikamuuliza kwa nini yeye na watu msipangie hadi umelete kona hii ? Nikiwa najibishana bila kujua who was Kimiti kesha fika na wapambe wake .

Kumbe alinisikia nikisema wa utulivu ba waka sikuwa na nia ya kuondoka pale .Basi Kimiti yalimwingia akanishika mkono akasema basi bwana yameisha nakaa pale na mie ndiye Kimiti .Wapambe hawakuelewa wala watu wa Mwanza hotel hawakuelewa .So kama leo kweli limetokea basi hao jamaa hapo Mwanza ni tabia zao kwa ma CCM .
 
Ni Mwanza BOSS na siyo Dom...Na wanahabari inaelekea waliambiwa hivyo na Management ya Hotel kwamba mnahamishwa kwa sababu ya usalama wa Ridhwan. Tusubiri labda utawala wa Hotel hiyo wanaweza kuweka bayana nini hasa kilichojiri hadi wahariri hao kufukuzwa hotelini.

Hilo tank la maji kwa nini asimpe mkuu wa wilaya agawe ili atupunguzie gharama ya msafara wake
 
Great thinkers .Let me share my personal experience juu ya ujinga huu kama kweli umetokea hapo Mwanza .Mwaka 2000 nilifikia Mwanza hotel .Mchana nikawa nimeshuka kula na mie na jamaa yangu nikachagua mahali pa kukaa .Nikiwa karibia nianze akaja mtu anawaka .Nikashangaa kidogo akasema simama simama tafuta mahali pengine eneo lote hili anakuja waziri ni wiki ya Maji na inafanyika Mwanza na by that time alikuwa Paul Kimiti .Kusikia vile nikamuuliza huyo ni waziri wa wanyama au watu ? Nikamuuliza mie nalipa mawe yeye pesa ? Nikamuuliza kwa nini yeye na watu msipangie hadi umelete kona hii ? Nikiwa najibishana bila kujua who was Kimiti kesha fika na wapambe wake .

Kumbe alinisikia nikisema wa utulivu ba waka sikuwa na nia ya kuondoka pale .Basi Kimiti yalimwingia akanishika mkono akasema basi bwana yameisha nakaa pale na mie ndiye Kimiti .Wapambe hawakuelewa wala watu wa Mwanza hotel hawakuelewa .So kama leo kweli limetokea basi hao jamaa hapo Mwanza ni tabia zao kwa ma CCM .

Tulishasema tabia za watu wa kanda hiyo ambayo wanaitajika kuwa shaped kwa nguvu,na hata huyo mhinid ndio walewale kwa kuwa wao wanajua kujipendekeza kwa watawala.
 
Seif al Islam bin Gaddafi. Hizo ndizo zilikuwa style zake.

Marehemu Uday sadam hussein wa iraqi, assad wa syria alichukua utawala baada ya kifo cha baba yake na sasa anawachinja wasyria kiroo mbaya.

Misri mtoto wa mubarak alikuwa hivo hivo hadi nguvu ya umma ilipo shika mkondo wake. hapa kwetu tuna hussein mwinyi, aman karume, riz1 kikwete. waislam ndo zao hizo uvivu, usultan na umwinyi
 
Back
Top Bottom