BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,006
Nao wahariri walikubali kuondoka? kama waliondoka na hawatofungua kesi ya anti-discrimination wanastahili kufukuzwa mahali popote ambapo kuna uwezekano wa Ridhiwani kupita.
Nakubaliana nawe Mkuu, ilibidi wagome kufukuzwa mpaka kieleweke. Ridhwan hana haki zaidi ya kufikia hotel hiyo ukilinganisha na hao wahariri.