Wahariri na Rais Kikwete: Yametimia yaliyotabiriwa?

Kama wewe ulikuwepo kilikushinda nini kuuliza huo ujinga wako? Na kwa hotuba ya kizushi kama ile ya jana ulitegemea Dhaifu angejibu nini zaidi ya utumbo alioutoa kwa maswali mengine aliyoulizwa? Wacha kujifanya wewe mjuaji, wewe ni kanjanja wa kutupwa! Swali uliloliweka hapo kama mbadala ni la kijinga zaidi!
 
Siyo huyu tu ila hata Bakari machumu pamoja na kuuliza swali ndefu ambalo mkulima viazi kule Mangola angeweza kuliuliza vizuri na kwa mpangilio zaidi. Maswali ya kweli yapo press conference za US na Ulaya. Hapa kwetu Wahariri wengi wanavizia kazi ya Rweyemamu na wanamwuuliza rais swali kwa mtindo wa jibu ili asijisikie vibaya
 
images


i)Muhariri wa Tzdaima- kuhusu swali alivyomuuliza Kikwete kuhusu Serekali kuhusika Kumdhuru dk Ulimboka lilikuwa ni la kitoto sana.

Huwa najiuliza sana. Kwanini tzdaima huwa linaandika mambo makubwa na ya kiuchokozi sana kuhusu Serekali ya JK . Lkn huwa nashangaa kila mara wakikutana uso kwa uso na JK huwa mdomo wa muhariri huyu huingia kitetemeshi . kazi wanayofanya huwa ni nyepesi sana na maswali yake hata Katibu tarafa wa CCM anaweza kuijibu tena huku akicheka


ALIULIZA HIVI JANA.
Mh kuna baadhi ya Vyombo vya habari vinadai serekali imehusika Kumteka Dk Ulimboka.

Ningalipata mimi nafasi ningaliuliza hivi.
Mh rais. hivi karibuni baadhi ya magazeti na yalimtaja mtumishi wa Ikulu (Ningalimtaja jina )ndio wahusika wa utekaji wa Dk Ulimboka. Swali. kwa kuwa Ikulu ni pahala patakatifu , Jee mh kweli mtumishi huyu alietajwa yupo kweli Ikulu? na kama yupo nini msimamo wa serekali yako kama hayupo Ikulu wala haimjui kwanini serekali imekaa kimya kukanusha habari hizo kupitia Msemaji wa Ikulu kama tulivyozoea kusikia kupitia Kurugenzi ya mawasiliano?

b)Kwanini Mh rais umeshindwa kuunda tume huru kuondoa wingu hili

Msimulaumu sana. He's a disrepectful son of the disreputable mother. Kibanda kwa umri bado ni kijana na amesomea na kukulia katika mazingira haya ambayo wachambuzi wa mambo wanasema ni kizazi kulichoacha kufikiri au kutafakari kabla ya kusema au kuuliza kitu. He's a victim of circumstances and the industry from which he earns his bread and butter is questionable. Waandishi wengi wa habari wa Tanzania ukiacha ukweli kuwa upeo wao uko limited many of them wanashindwa kuivalia njaa kipande cha kusestri na wamekuwa watu wa bahasha ili wawatabukuze wanasiasa na watu wengine. Ndio maana 2005 kwenye uchaguzi tuliuziwa mbuzi kwenye gunia na hii leo machungu tunayapata kwa sababu ya waandishi wa habari na makundi mengine ya kijamii. Sijui yeye kibanda alichangia nini. Lakini itoshe kusema kuwa kuwa kizazi hiki sasa hivi Tanzania kimeamua kupolitisize kila kitu.Elimu badala ya kuwa commercialised na kutunza quality na standards imekuwa politisized na sio priority. Kujisomea kumekuwa ni kama ukoma na badala yake Watanzania wanaamini katika habari za vijiweni na magazeti ya kasheshe yanayopendwa na wanawake. No hard and concrete issues are analysed by a vasty majority save those in academic industry.

Haishangazi kumwona Kibanda nakosa stylistics na semantics. Huenda sio jana amekuwa hivyo na tatizo amekosa watu wa kumwambia " mfalme uko uchi" na wanaokusiliza wanaumwa. Kwanini kabla ya kuuliza swali wale wa chombo chake cha ahabari hawakujadiliana na wakakubaliana kuwa look this a question. Is it reliable? is it open ended? Is it irritating? Lakini mwisho is it worthy asking? Lakgine tujiulize je wenestgine waliouliza maswali yalikuwa logic? yalikuwa for the bestl interest of public? yalikuwa informative?
 
Kwanini kubenea mwenyewe hakwenda, yule jamaa namkubali angemchana laivu?
 
Anaogopa kufungwa si anakesi mahakamani huyu mhariri. Na JK anakutolea meno na kukungata hapohapo. Alikuwa anauliza swali kwa lengo la kuomba msamaha ili kesi yake ifikiriwefikiriwe.
 
Wameshau kwamba,
katika kijiji kitegemeacho maji ya kisima,
Watu wengi wakichimba na kutumia vyoo,
ikatokea familia moja bado wanya mitaloni,

It is about time wote mtauguaa kama mwanya mitaloni.
 
Siyo huyu tu ila hata Bakari machumu pamoja na kuuliza swali ndefu ambalo mkulima viazi kule Mangola angeweza kuliuliza vizuri na kwa mpangilio zaidi. Maswali ya kweli yapo press conference za US na Ulaya. Hapa kwetu Wahariri wengi wanavizia kazi ya Rweyemamu na wanamwuuliza rais swali kwa mtindo wa jibu ili asijisikie vibaya

walioona watuambie waliouliza maswali walipatikana vipi, naona kama waliuliza maswali ya kikongamano zaidi badala ya yale yanayohusu hali halisi ya nchi kwa sasa na namna ya kuyapatia ufumbuzi. naomba nisilaumiwe kwa kudhani kuwa pengine maswali huandaliwa in favor.
 
(mtaenda mtarudi sababu mimi ndo rais wenu)
Huu usemi usikuliwaze sababu wewe ukishaenda hautarudi kuwa rais tena badala yake utaenda kujibu mashitaka kwa ocampo. Mia
 
Bongo usioijua!~ Inasikitisha kwa pande zote mbili za ndoa: yaani 'wahariri' walipata nafasi ya kuandaa maswali bado wakaandaa maswali ya kianafunzi! na mkulu naye kapata maswali mapema bado anajibu maswali ya kianafunzi kama mwanafunzi wa elimu ya uraia sekondari!!!!!!!!!!!!!!
 
Kama kweli wamefikia hapo....ni bora wanyooshe mikono na kumwomba Rais awape kazi ili wawe wafagiaji wa Ikulu badala ya kutuzuga kuwa ni wahariri ambao wako huru katika kazi zao!!
 
Serikali imelifungia gazeti la MWANAHALISI. Wiki hiyo hiyo Rais Kikwete akawaalika wahariri kwenda kuongea nao Ikulu. Akawaagiza waandike maswali na kuyatuma mapema. Wakatii na kuyatuma. Orodha ya waalikwa ikachambuliwa. Ni sawa na kusema, ili uwe mhariri ni lazima ikulu ikubali kuwa wewe ndiye mhariri. Haya tuyaweke pembeni, tujikumbushe yaliyowahi au kutabiriwa/ kusemwa kuhusu waandishi wa Tanzania.

-Kwamba, ni wavivu wa kufikiri
-Kwamba, hawajui kuuliza maswali ya maana,
-Kwamba, hawajui kufanya uchunguzi na kuandika vizuri habari za uchunguzi,
-Kwamba, ni "vijibwa" vya watawala na wenye fedha,
-Kwamba, ni "makanjanja" wanaochafua tasnia ya habari, n.k.

Kwa kitendo cha wahariri kutii kwenda Ikulu na kukubali kuandaa maswali na kuyatuma mapema, wakati gazeti mojawapo limefungiwa kibabe, kimewadhalilisha sana wahariri wetu. Kimedhihirisha kwa dhati kuwa waandishi hawana umoja wala mshikamano na kwa hiyo ni ruksa kwa dola kuwafanyia itakavyo.

Hata katika nchi zilizoendelea, marais na viongozi wa nchi hizo, wakiitisha mikutano na wahariri au waandishi, huwapa uhuru wa kuulizwa maswali hata kama wanaweza kufanya mbinu ya kuwainua na kuwapa fursa ya kuuliza wale ambao hurusha "friendly fire" kwa watawala. Huu utaratibu wa wahariri wetu kukubali "kuandikiana barua za mapenzi" na rais ukome maana unaidhalilisha tasnia ya habari. Kama rais anataka maswali yaliyoandikwa, basi na yeye ajibu kwa maandishi na awatumie waliouliza.

Kukosekana kwa umoja na mshikamano miongoni mwenu, kunawafanya muishi kwa matumaini ya kuteuliwa ua kuingia katika siasa ili muendeleze michezo michafu mnayoipiga hivi sasa mkiwa mmevaa glovu. Jamani mnashindwa kumwuliza Rais, ikiwa serikali haikumteka Dr. Ulimboka kwa nini haichunguzi utekaji huo? Mnakubaliana na kujiumauma kwake kuwa "maneno yako mengi na yataendelea kuwapo"!

MMENISIKITISHA SANA.


njaa inawasumbua baadhi ya wahariri na waandishi wetu mkuu, kiujumla naweza kubalia nawe kuwa hayo yote yametimia ukizingatia na wenyewe wanavizia ukuu wa wilaya ka ilivyokuwa kwa wenzao ambao tayar walishaupata.
 
Na kinachoshangaza ni kwamba kiongozi wa hao wahariri, yaani mwenyekiti wao anakabiliwa na kesi ya uchochezi mahkamani iliyoundwa na utawala wa Kikwete aliyewaalika. Inasikitisha kwamba mwenyekiti huyu siyo tu alikubali yeye kwenda, bali pia alihamasisha wenzake kwenda Ikulu.
 
Huyu muhariri akiwa anaongea kwenye TV kwa ukali lakini nashangaa sana jana kapata nafasi ya kumuuliza JK swali uso kwa macho lakini kauliza swali dhaifu sana...JK sijui aliwapa nini wahariri alikuwa akicheka na wenyewe wanacheka.

Wahariri walikuwa wanauliza maswali dhaifu sana utadhani wapo kwenye kipindi cha malumbano ya hoja.
 
images


i)Muhariri wa Tzdaima- kuhusu swali alivyomuuliza Kikwete kuhusu Serekali kuhusika Kumdhuru dk Ulimboka lilikuwa ni la kitoto sana.

Huwa najiuliza sana. Kwanini tzdaima huwa linaandika mambo makubwa na ya kiuchokozi sana kuhusu Serekali ya JK . Lkn huwa nashangaa kila mara wakikutana uso kwa uso na JK huwa mdomo wa muhariri huyu huingia kitetemeshi . kazi wanayofanya huwa ni nyepesi sana na maswali yake hata Katibu tarafa wa CCM anaweza kuijibu tena huku akicheka. Inaonekana baadhi ya habari za TZDAIMA zinaandikwa na watu makini kama wabunge wa Chadema na muhariri hupitishiwa. kibaya zaidi ndie mwenyekiti wa jukwa la wahahariri tz


ALIULIZA HIVI JANA.
Mh kuna baadhi ya Vyombo vya habari vinadai serekali imehusika Kumteka Dk Ulimboka.

Ningalipata mimi nafasi ningaliuliza hivi.
Mh rais. hivi karibuni baadhi ya magazeti na yalimtaja mtumishi wa Ikulu (Ningalimtaja jina )ndio wahusika wa utekaji wa Dk Ulimboka. Swali. kwa kuwa Ikulu ni pahala patakatifu , Jee mh kweli mtumishi huyu alietajwa yupo kweli Ikulu? na kama yupo nini msimamo wa serekali yako kama hayupo Ikulu wala haimjui kwanini serekali imekaa kimya kukanusha habari hizo kupitia Msemaji wa Ikulu kama tulivyozoea kusikia kupitia Kurugenzi ya mawasiliano?

b)Kwanini Mh rais umeshindwa kuunda tume huru kuondoa wingu hili

Mkuu si muda wa kulala huu, mbona unaota ukiwa umelala wakati unacho kitanda karibu si ualale badala ya kuandika utumbo huu. Hivi kiswahili chako cha SEREKALI nani angekupa hata nafasi ya kuvuta geti la kuingia Ikulu si wangekurudisha kuwa wewe si Mtanzania bali msomali.
 
Back
Top Bottom