Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,744
Baniani yuko jela na sanamu wake wa kuabudu, kila siku anaiabudu na kuiomba atoke jela, kwenye chumba kuna muislaam. Muislaam nae kila siku anasali na kumuomba Allah atoke jela, Muislaam akatolewa, wakati anatoka
Baniani akamuuliza Muislaam 'vipi wewe nafanzaje mpaka iko toka na mimi kila siku naomba hapana toka?
Muislaam akamjibu 'tatizo lako wewe na Mungu wako nyote mpo jela mefungwa'
Baniani akamuuliza Muislaam 'vipi wewe nafanzaje mpaka iko toka na mimi kila siku naomba hapana toka?
Muislaam akamjibu 'tatizo lako wewe na Mungu wako nyote mpo jela mefungwa'