Kite Munganga
Platinum Member
- Nov 19, 2006
- 1,773
- 952
Mmesikia ndugu jana ITV? TUWE WAANGALIFU NA LAWAMA ZETU
Mmesikia ndugu jana ITV? TUWE WAANGALIFU NA LAWAMA ZETU
Si tuambie wamesema nini? Sio wote wenye luninga!Mmesikia ndugu jana ITV? TUWE WAANGALIFU NA LAWAMA ZETU
Mmesikia ndugu jana ITV? TUWE WAANGALIFU NA LAWAMA ZETU
Wakubwa nimempoteza kichanga wangu kwa uzembe wa wauguzi, news kama hii inagusa sana moyo wangu... ninaomba kwa Mungu afanye mabadiliko makubwa ktk vichwa vya wauguzi na waganga
Waziri wa Afya proudly anataja orodha ya watoto na kina mama wanaokufa kwa matatizo ya uzazi halafu hafanyo juhudi zozote kuokoa hali hii.
AFYA NI HAKI YETU YA KIKATIBA LAZIMA TUIDAI
Hi mentality ya "fulani must go" haitatufikisha popote.
Tuna systemic problem, tunahitaji a systemic solution.
CCM must go is more like it.Mwakyusa as a person may not be the problem and may actually be better than many a possible replacements, but what do you do when the entire system is plagued? You start an overhaul of the entire system, you do not change nuts and bolts.
Hi mentality ya "fulani must go" haitatufikisha popote.
Tuna systemic problem, tunahitaji a systemic solution.
CCM must go is more like it.Mwakyusa as a person may not be the problem and may actually be better than many a possible replacements, but what do you do when the entire system is plagued? You start an overhaul of the entire system, you do not change nuts and bolts.
msikimbilie kusema hizi kazi ni wito wito tu,hivi kwenye pesa wapi pameandikwa wito??kila kazi ni wito mazee..
wewe unafikiri mtu atajitoaje kimasomaso kama kapesa anakopata ni ka duchu hakawezi kumtoa hata kwa wiki 2?Mbunge anapiga porojo bungeni anaondoka na lundo la fwedha,iweje watu muhimu kama hawa serikali haiwajali?Kama mpiga deki wa TRL analipwa mshahara mkubwa kuliko daktari aliyesota more than 5 years kula shule ngumu na katika mazingira magumu,huu wito utatoka wapi hapa?
Pale muhimbili kuna mpaka ma surgeon hawawezi hata ku afford ka mark 2 wanakwenda kazini kwa daladala,sasa hebu jiulize huyu mtu atakuwa na morali ya kazi kweli wakati anamuona jirani yake labba yuko tigo tu ana sukuma mashine.
msikimbilie kulaumu tu ndugu zangu
Serikali ipo ktk fungate la uhuru hivyo masuala kama haya hayaistui.....
Ila wataongeza orodha ktk takwimu zao za vifo vya akina mama na watoto
Jamani hata hakuna tamko lolote so far toka serikalini au ndio serikali ime freeze sababu sullivan??
Hawana pressure maana aliyekufa aliwapa kura moja tu so kafa hawana kazi naye wanawafuata ndugu waliobakia kwa kofia ama tisheti then kura wanangoja mwingine afe .