Hivi watanzania tumelogwa, tumelaaniwa? Kwa nini kila mradi wa ujenzi mabarabara unafanywa na wachina? Hii ina maana gani kwetu wazawa? Na board yenu bora tu ivunjwe haina msaada wowote kwenu. Wachina niwakuchukia sana ni wezi
Tatizo ni hela au serikari ya kishugadad? We are reach bana. Mimi hela ninazo ambazo ni safi na kula bata na ndungu zangupunguza munkari kijana,
una hela wewe za kuendesha miradi hiyo?
wenzio wachina wankuja na hhela zao wanikop[esha serekali yako, je wewe unazo hela? hujasikia kuwa Tanroads wanadaiwa na hao wachina bil 300 ?
Ni hayo tu!
Kulalama kila mahali. Nipe orodha ya wandisi 10wa kitanzania wenye angalau compacter mojamoja. Hapa bongo watu wanawaogopa mpaka ndugu zao, ukinunua asset unaambiwa umetuibia, watu wanaishia kutumbua fedha wanazozipata. Ukienda kukomba mkopo hata kama una collateral ya kutosha meneja nataka 10% kabla hujapewa mkopo wenyewe-unadhani ni lini mhandisi mzawa atakuwa na kampuni yenye uwezo wa kushindana na wachina?!, we are enemies of our own.
HAWAITWI WAHANDISI, WANAITWA WAKANDARASI AKA CONTRACTORS NA TZ WAPO WENGI WAKUBWA
1. MECCO
2. ELERAI
3. KERAI
4. ROCKTRONIC
5. NYANZA ROADWORKS
6.J.S. KHAMBAITA
7. HARI SING
8. SKOL
9. KONOIKE (T) LTD
10. JANDU
11. www.crb.go.tz utawapata wengi kuanzia Class 1 mpaka class 7 Just be informed
Hivi watanzania tumelogwa, tumelaaniwa? Kwa nini kila mradi wa ujenzi mabarabara unafanywa na wachina? Hii ina maana gani kwetu wazawa? Na board yenu bora tu ivunjwe haina msaada wowote kwenu. Wachina niwakuchukia sana ni wezi
punguza munkari kijana,
una hela wewe za kuendesha miradi hiyo?
wenzio wachina wankuja na hhela zao wanikop[esha serekali yako, je wewe unazo hela? hujasikia kuwa Tanroads wanadaiwa na hao wachina bil 300 ?
Ni hayo tu!