Hii ni kero yangu,naomba wahusika wahifuatilie.Wapo Wakenya,wamalawi ,wachina wengi sana hapa Dar,wakifanya kazi bila kuwa na permit yoyote zaidi ya kuwa na line ya safaricom na vodacom ili kuwasiliana na ndugu zao huko makwao.
Waziri Masha futilia jambo hili.taarifa tunapeleka ofisi ya Uhamiaji makao makuu ,hata ofisi ya mkoa opp. na shoprite lakini baada ya siku 2 watuhumiwa uwachiwa baada ya kutoa mlungula mzito.
Hebu watoe taarifa ya wageni waliopo nchini na wanafanya kazi bila vibali.
Waondoeni hii ni nchi yetu -warudi kwao,tena basi ni watu wenye roho tofauti na sie watanzania.
Naomba niwasilishe.
Waziri Masha futilia jambo hili.taarifa tunapeleka ofisi ya Uhamiaji makao makuu ,hata ofisi ya mkoa opp. na shoprite lakini baada ya siku 2 watuhumiwa uwachiwa baada ya kutoa mlungula mzito.
Hebu watoe taarifa ya wageni waliopo nchini na wanafanya kazi bila vibali.
Waondoeni hii ni nchi yetu -warudi kwao,tena basi ni watu wenye roho tofauti na sie watanzania.
Naomba niwasilishe.