Wahadhiri vyuo vikuu vya umma kugoma

Very simple ku-deal na hii issue,

Funga university za umma peleka watoto wote university za kanisa st..augustine wakasome mapambio

Mwaka huu Kikwete hadi atangaze mwenyewe kuachia kazi. Wewe mpambe wake kama unafikiri Watanzania bado wamelala, basi kalaga baho. Mtasiliba sana tu mwaka huu ila mwisho wa siku Mafuta na maji yatajitenga. Kama mnafikiri bado tutaendelea kucheza mnavyotupigia ngoma, basi lazima mfahamu sasa tunaanza kungangamara.

Pamoja na Uzembe wa huyo jamaa yako, kuweka sahihi kwa Mbwembwe sheria ya UCHAGUZI, kumbe sheria wenyewe wajanja (inawezekana ni wewe) walimchomekea. Kama si msomi aliyesomea KANISANI (Dr. Slaa) basi hadi leo ingelikuwa inadunda. Ona sasa mmemponza jamaa yako. Yaani kaonekana anachezewa kuanzia na akina Ruge, Kusaga, Makamba, hadi na watendaji wake wa karibu wanamshauri vibaya.

Lazima NIKIRI kuwa KIKWETE kwa UTAWALA wake, ATAIBADILI Tanzania milele. Ndugu Rais Kikwete, kwa hili nasema ASANTE sana. Baada yako Tanzania haitakuwa ile ile. Utawala wako umetufanya Watanzania tuwe WATU WAZIMA. Nani alitegemea kuwa kuna siku Watanzania wataanza kudai haki zao kwa nguvu namna hii? Ona hata sheria ya MADINI, watu wameiweka kiti moto sheria ya zamani hadi KIMEELEWEKA. Najua mlilazimishwa ila angelikuwa Rais Mbabe, basi yangelibadilishwa machache.

Malizieni kwa kuweka sheria kuwa kila uwezekezaji Tanzania, lazima asilimia Minimum kadhaa ziwe kwa ajili ya Wazawa. Hata zile ambazo tayari zimeshawekezwa. Hii itasaidia sana Watanzania kuwa OWNER wa nchi yao hatimaye. Na mwisho kutimiza ahadi yako ya MAISHA mazuri kwa Watanzania wote (milele hawatakuwa wote, ila walau wengi).
 
Mwaka huu Kikwete hadi atangaze mwenyewe kuachia kazi. Wewe mpambe wake kama unafikiri Watanzania bado wamelala, basi kalaga baho. Mtasiliba sana tu mwaka huu ila mwisho wa siku Mafuta na maji yatajitenga. Kama mnafikiri bado tutaendelea kucheza mnavyotupigia ngoma, basi lazima mfahamu sasa tunaanza kungangamara.

Pamoja na Uzembe wa huyo jamaa yako, kuweka sahihi kwa Mbwembwe sheria ya UCHAGUZI, kumbe sheria wenyewe wajanja (inawezekana ni wewe) walimchomekea. Kama si msomi aliyesomea KANISANI (Dr. Slaa) basi hadi leo ingelikuwa inadunda. Ona sasa mmemponza jamaa yako. Yaani kaonekana anachezewa kuanzia na akina Ruge, Kusaga, Makamba, hadi na watendaji wake wa karibu wanamshauri vibaya.

Lazima NIKIRI kuwa KIKWETE kwa UTAWALA wake, ATAIBADILI Tanzania milele. Ndugu Rais Kikwete, kwa hili nasema ASANTE sana. Baada yako Tanzania haitakuwa ile ile. Utawala wako umetufanya Watanzania tuwe WATU WAZIMA. Nani alitegemea kuwa kuna siku Watanzania wataanza kudai haki zao kwa nguvu namna hii? Ona hata sheria ya MADINI, watu wameiweka kiti moto sheria ya zamani hadi KIMEELEWEKA. Najua mlilazimishwa ila angelikuwa Rais Mbabe, basi yangelibadilishwa machache.

Malizieni kwa kuweka sheria kuwa kila uwezekezaji Tanzania, lazima asilimia Minimum kadhaa ziwe kwa ajili ya Wazawa. Hata zile ambazo tayari zimeshawekezwa. Hii itasaidia sana Watanzania kuwa OWNER wa nchi yao hatimaye. Na mwisho kutimiza ahadi yako ya MAISHA mazuri kwa Watanzania wote (milele hawatakuwa wote, ila walau wengi).

Wishingful thinking..kelele nyingi lakini sisi tunaende mbele tunanyoosha upupu uliofanywa na jitu lenu kutoka kanisani NKAPA...mikataba mibovu, sheria chafu, ubabe. etc....wananchi ndio waamuzi come october ..usikimbie ukaishia kulialia ...subirini baada ya 2010...(painfull lakini huna jinsi)

Huyo church agency wenu (slaa) atashirikiana wewe na pengo et al. (waraka movement and so on) lakini kelele za wale waliozoea "kupendelewa".lakini taifa hili linahitaji wanaume kurekebisha mambo si makondoo wanaotoka kanisani...kwa faida ya yenu pia...

Ndoto zako na Slaa oh magufuli (RC movement) tumeshaishtukia..endeleeni kulialia ..keep on crying..
 
Wishingful thinking..kelele nyingi lakini sisi tunaende mbele tunanyoosha upupu uliofanywa na jitu lenu kutoka kanisani NKAPA...mikataba mibovu, sheria chafu, ubabe. etc....wananchi ndio waamuzi come october ..usikimbie ukaishia kulialia ...subirini baada ya 2010...(painfull lakini huna jinsi)

Huyo church agency wenu (slaa) atashirikiana wewe na pengo et al. (waraka movement and so on) lakini kelele za wale waliozoea "kupendelewa".lakini taifa hili linahitaji wanaume kurekebisha mambo si makondoo wanaotoka kanisani...kwa faida ya yenu pia...

Ndoto zako na Slaa oh magufuli (RC movement) tumeshaishtukia..endeleeni kulialia ..keep on crying..

Ulie tu. Aliyebadili ni William Ngereja, ngosha mzembe aliyebanwa kama mjusi kwenye mlango hapo juzi mjengoni. Hakuwa na jinsi ya kujitetea wala kuomba utetezi kwa Kikwete kwa sababu Kikwete alikuwa kakwama na moshi wa Volcano Ulaya. Natamani ule moshi uanze tena siku akisafiri na udumu hadi uchaguzi uishe. Kukosekana kwake siku chache tu, kumeleta sheria nzuri ya madini. Akikosekana milele itakuwaje?

Mkapa kama si uwezekaji wa kijinga na kuuza mashirika na pia WIZI wake alioufanya mwisho, sasa hivi angelikuwa na heshima kubwa kama NYERERE. Wote wasubiri siku watakuja kuanza kupanda kizimbani kama walivyowapandisha wenzao akina Mramba. CCM oyeeee, Kiwete oyeeee, moshi wa volcano oyeeee.....

NB: Mbona unawachukia sana Wakatoliki? Ehhh, kuna Padri alikufanyia kale kamchezo nini? Wahi na wewe uombe Mamilioni kwa PAPA wa Kijerumani. Unaweza kuambulia walau ki-VX 6 kipya :)
 
Waache uzembe mgomo hauiumizi serikali wala nini,waache unafiki kwanza ni wazito sana,wao ndo walitakiwa kuwa chachu ya mabadiliko,acha wapate wanachostahili kwa kutokufikiria mbali!
Mambo ya migomo ni enzi za chama kimoja,sasa hivi kama hamridhiki mnachotakiwa kufanya ni mabadiliko kwenye sanduku la kura,acheni upuuzi!
 
Kama ni wasomi wenye credentials zilizokamilika kwa nini wasitafute ajira kwingine? Kuna haja gani ya kuikamua nchi ambayo haina hata kipato cha kuwanunulia watoto wa shule madawati ? Ubinafsi umeota mizizi sana tz
 
Waache uzembe mgomo hauiumizi serikali wala nini,waache unafiki kwanza ni wazito sana,wao ndo walitakiwa kuwa chachu ya mabadiliko,acha wapate wanachostahili kwa kutokufikiria mbali!
Mambo ya migomo ni enzi za chama kimoja,sasa hivi kama hamridhiki mnachotakiwa kufanya ni mabadiliko kwenye sanduku la kura,acheni upuuzi!

I doubt if you know the details of this issue....ni bora ungeuliza kwanza upewe issue nzima...ilivyoanza,hatua zilizochuliwa nk nk..kuliko kuropoka hivi...phew!
 
I doubt if you know the details of this issue....ni bora ungeuliza kwanza upewe issue nzima...ilivyoanza,hatua zilizochuliwa nk nk..kuliko kuropoka hivi...phew!

Ni kweli IronBroom. Huyu Jmushi1 kakurupuka tu. Haijui hii issue ilivyo.

Aulize kwa wenye info kabla ya kuanza kumwaga upupu jamvini.
 
Mimi naunga mkono mgomo wa wahadhiri, Lakini ningeshauri wafanye mgomo kuanzia mwezi wa saba hadi wa tisa mwishoni.
 
Ironbroom na mwezio Invincible;
I really dont give a rat ass on whatever reasons behind mgomo wao,ama eti sijui issue ilivyoanza blah blah blah...!all i know is wanagoma kwasababu wanataka mafao zaidi,kama wanaona serikali ya ccm haiwatendei vyema basi wasiichague kwasababu mali za uma ni za umma na si za ccm,kwani hawaoni asilimia kubwa ya wananchi hawaju hata watakula wapi?kwa hiyo wakichagua chama kipya watapata viongozi na serikali ya tofauti na hivyo kuwa na ushindani baina ya serikali zinazoingia madarakani,watumie uwezo na nafasi zao kuwaelimisha wananchi ili tujikwamue....Matatizo hayako kwao peke yake,na nimerudia na kusema kuwa wao ndio walitakiwa wawe chachu ya mabadiliko Tanzania,lakini kina Baregu walikuwa wenyewe tu,wazalendo hakuna,ni wachache sana,zaidi zaidi ni matumbo yao tu!
Sasa mnieleleze upupu ni upi?
 
Tumaini na wengine, msiwashutumu mno hao wanataaluma. Jithada zao za mazungumzo na serikali kuhusiana na madai yao zilianza nyuma sana, kuanzia 1999 na kupata msukumo mkubwa sana 2004, na nasikia mwaka 2008 na 2009 zilikuwa kama zinafanikiwa lakini kagiza fulani kakaingia hapo. Hilo la kwao halina uhusiano na Kikwete, Kikwete amelikuta lakini yule ni Soldier msisahau anajua ku-dodge issue kama nini! Ukimsikia amesafiri, aghalabu kuna kitu kinamsakama anatafuta jinsi ya kukipunguzia makali, ni mjanja sana. Hakuna Cabinet meetings for as long as it will take, kwa hivyo hakuna maamuzi.

Hao wasomi wapeni support, taifa hili linawahitaji, tuache ushabiki! Jamaa mmoja ambaye ameanza mipango ya kujenga Chuo Kikuu chake nje kidogo ya Dar alikuwa ananimegea jinsi ilivyo kazi kubwa kupata wahadhiri kwa kozi moja tu anayoaianza ya masomo ya Biashara. Akaenda SAUT, wakamshauri aanze kuandaa walimu kwa kutafuta vijana na kuwapeleka kusomea shahada ya pili nk. Alistuka sana kusikia ushauri huu. Akaniambia unajua hawa mapadri wenda wazimu, utakuwa na uhakika gani huyo kijana baada ya kupata Masters yake atarudi kufundisha....lakini kumbe ni hivyo hata Public Universities walivyofanya, waliwekeza kaitka kuwaandaa walimu hawa, hawapatikani kirahisi hivyo. Wakigoma ukawafukuza wote, itaichukua serikali miaka mingine 10 kuwapata waliobobea kiasi hiki. Lakini miaka 10 ya kuwa na wahitimu watakaofanya kazi miaka zaidi ya 30 ambao hawajaivishwa sawasawa! Hii ndio gharama ya kutojali maslahi ya maliwatu.
 
walimu wa vyuo vya umma kwa kweli wana hali ngumu nadhan mda umefika na wao wameona huo ugumu! wengi wala hawatamani kazi zao kwani utamkuta lecture especially ndio bado phd student unamkuta kachoka hadi unajiuliza kama toka amemaliza bachelor miaka kama mitano iliyopita ndio yuko ivi kiasi mtu huwezi tamani kazi yake!
 
jmushi1 said:
wao ndo walitakiwa kuwa chachu ya mabadiliko
Sina hakika kama unazungumzia mabadiliko gani, lakini kama ya Kisiasa basi utakuwa unawaonea. Nchi yetu bado ina idadi ndogo sana ya Wahadhiri kuanza kufikiria suala la wao kuleta mabadiliko ya Kisiasa. Pengine tuwatake walete mabadiliko ya kimitazamo kwa wanaopitia vyuoni maana kufikiri kwamba wanaweza kuleta ushawishi kwa jamii nzima ni uongo. Fatilia kwa makini uwiano uliopo wa Mhadhiri na idadi ya Watanzania, bado hatujafikia nchi kama Marekani (don't overspeculate)

jmushi1 said:
all i know is wanagoma kwasababu wanataka mafao zaidi
Unalosema ni kweli lakini msingi mkubwa kabisa wa mgomo ni suala la mafao mabovu wanayoyapata kupitia PPF. Mfuko huu hauna 'benefits' nyingi kwa wanachama wake kama ilivyo mifuko mingine. Tatizo kubwa ni kulazimishwa kujiunga na PPF hata pale maslahi yanapokuwa haba. Kuna mtu katoa mfano wa Mbunge kupata mafao makubwa kwa kazi ya miaka mitano (5) pekee, lakini mifano iko mingi zaidi ya huo. Mfano mfanyakazi wa 'government ministries, agencies or departments' anapata fao kubwa sana anapostaafu kulinganishwa na profesa wa chuo kikuuu. So, sidhani kama kupigania maslahi kama hayo kuna ubaya kwako.

jmushi1 said:
kama wanaona serikali ya ccm haiwatendei vyema basi wasiichague kwasababu mali za uma ni za umma na si za ccm...... kwa hiyo wakichagua chama kipya watapata viongozi na serikali ya tofauti
Kwenye siasa, Wahadhiri wana haki sawa kama mwananchi mwingine yeyote. Kura moja ya Mhadhiri ina uwiano sawa na kura ya mwananchi mwingine. Kila mhadhiri ana chama anakichopenda, na ni ukiukwaji wa sheria kuanza kuingilia uhuru huo. Ni busara kidogo sana inahitajika kujua kwamba hata kama wahadhiri wote watapiga kura kwa vyama vya upinzani bado haiwezi kusaidia vyama hivyo kushinda kwa mazingira ya siasa za wakati huu.

jmushi1 said:
watumie uwezo na nafasi zao kuwaelimisha wananchi ili tujikwamue
Uwezo inawezekana wanao lakini nafasi ya kuwaelimisha wananchi inategemea zaidi na maslahi wanayopigania sasa. Kwa kuwaunga mkono tutakuwa tunasaidia ili wapate nafasi ambayo nawe pia unaiongelea.

jmushi1 said:
lakini kina Baregu walikuwa wenyewe tu,wazalendo hakuna,ni wachache sana,zaidi zaidi ni matumbo yao tu!
'Better be realistic that your allegations are based on the fact that no Lecturer pay attension to Prof. Baregu's saga'. Lakini hili halikuwahusu wahadhiri kwa kuwa aliingia kwenye siasa 'out of professorial concern'. Kila siku tunalalamika kitendo cha maprofesa wetu wachache kuwa wabunge(wanasiasa) ilihali kuna upungufu mkubwa wa walimu. Kuwa mkweli 'if you are really patriot to your poor country'. Sina maana tuwahachie shughuli za kisiasa watu wasio na elimu ya kubwa, la hasha, lakini suala la kutoa elimu liwe la kwanza kabla ya kufikiria siasa. So, japokuwa sikupenda kusitishwa kwa ajira ya Prof. Baregu, lakini nilipenda 'motive behind' kitenda cha serikali ili liwe kalipio kwa wahadhiri wafanye kazi yao ya kutoa elimu kwa ufasaha pasipo kuingiza masuala mengine.
 
Kama vile Mtikila aliwahi kulipeleka/kuwa na nia ya kulipeleka mahakamani hili suala la mifuko ya pensheni ambayo inaonekana mingine kuwa kama miradi ya kuwaibia wananchi. Nini kilitokea kumbe? Inaonekana kama wenye kupenda kuvuna tusichopanda vile!

Mtikila atakumbukwa sana huyu mtu. Nadhani ndio maana hata ile bia kali sana ya Serengeti wameipa jina la "Mtikila" kama sikosei inaitwa "Kick"
 
Jamani hivi Serikali haioni aibu?? kila kukicha migimo migimo migomo kila pande ya nchi... JK na SERIKALI YAKO AMKENI WATANZNIA WA SASA SIO SAWA NA WALE WA ENZI ZA MWALIMU WANAUELEWA WA KILA KITU aibu hii hadi lini ???

wameanza WALIMU, MADAKTARI wakaja TRL hatujakaa sawa WAFANYAKAZI wanabisha hodi milango mara WAHADHILI WA VYUO VIKUU hii ni migomo mikubwa bado ile migomo midogomidogo ya waajiriwa na waajiri wao JAMANI SERIKLI TUONDOLEENI HII AIBU KATIKA NCHI YETU
 
Sina hakika kama unazungumzia mabadiliko gani, lakini kama ya Kisiasa basi utakuwa unawaonea. Nchi yetu bado ina idadi ndogo sana ya Wahadhiri kuanza kufikiria suala la wao kuleta mabadiliko ya Kisiasa. Pengine tuwatake walete mabadiliko ya kimitazamo kwa wanaopitia vyuoni maana kufikiri kwamba wanaweza kuleta ushawishi kwa jamii nzima ni uongo. Fatilia kwa makini uwiano uliopo wa Mhadhiri na idadi ya Watanzania, bado hatujafikia nchi kama Marekani (don't overspeculate)

Unalosema ni kweli lakini msingi mkubwa kabisa wa mgomo ni suala la mafao mabovu wanayoyapata kupitia PPF. Mfuko huu hauna 'benefits' nyingi kwa wanachama wake kama ilivyo mifuko mingine. Tatizo kubwa ni kulazimishwa kujiunga na PPF hata pale maslahi yanapokuwa haba. Kuna mtu katoa mfano wa Mbunge kupata mafao makubwa kwa kazi ya miaka mitano (5) pekee, lakini mifano iko mingi zaidi ya huo. Mfano mfanyakazi wa 'government ministries, agencies or departments' anapata fao kubwa sana anapostaafu kulinganishwa na profesa wa chuo kikuuu. So, sidhani kama kupigania maslahi kama hayo kuna ubaya kwako.

Kwenye siasa, Wahadhiri wana haki sawa kama mwananchi mwingine yeyote. Kura moja ya Mhadhiri ina uwiano sawa na kura ya mwananchi mwingine. Kila mhadhiri ana chama anakichopenda, na ni ukiukwaji wa sheria kuanza kuingilia uhuru huo. Ni busara kidogo sana inahitajika kujua kwamba hata kama wahadhiri wote watapiga kura kwa vyama vya upinzani bado haiwezi kusaidia vyama hivyo kushinda kwa mazingira ya siasa za wakati huu.

Uwezo inawezekana wanao lakini nafasi ya kuwaelimisha wananchi inategemea zaidi na maslahi wanayopigania sasa. Kwa kuwaunga mkono tutakuwa tunasaidia ili wapate nafasi ambayo nawe pia unaiongelea.

'Better be realistic that your allegations are based on the fact that no Lecturer pay attension to Prof. Baregu's saga'. Lakini hili halikuwahusu wahadhiri kwa kuwa aliingia kwenye siasa 'out of professorial concern'. Kila siku tunalalamika kitendo cha maprofesa wetu wachache kuwa wabunge(wanasiasa) ilihali kuna upungufu mkubwa wa walimu. Kuwa mkweli 'if you are really patriot to your poor country'. Sina maana tuwahachie shughuli za kisiasa watu wasio na elimu ya kubwa, la hasha, lakini suala la kutoa elimu liwe la kwanza kabla ya kufikiria siasa. So, japokuwa sikupenda kusitishwa kwa ajira ya Prof. Baregu, lakini nilipenda 'motive behind' kitenda cha serikali ili liwe kalipio kwa wahadhiri wafanye kazi yao ya kutoa elimu kwa ufasaha pasipo kuingiza masuala mengine.

Ndio maana nikasema style yao wanayoitumia ni sawa tu na enzi za chama kimoja,migomo and more migomo......na hilo pia ccm itabidi wabebe lawama kwasababu bado wanaiendesha nchi kama ni ya one party system, yani ccm peke yake na mentaly hiyo ya kujisahau kama vile demokrasia ya vyama vingi hata waadhiri hao nao wame athirika kutokana na mawazo yao kukwama huko,unataka kusema hawajui kuwa wana haki ya kuchangia kwenye kuleta mabadiliko ya kisiasa?Hawajiulizi kama wao na visomo vyao mambo na hivyo,je vipi kuhusu wananchi wengi wasio na kisomo na walioko vijijini?
Ni kwa vipi maslahi yao yakishugulikiwa tutaona maendeleo kwa wananchi walio wengi kama hata hao wanao graduate hawapati kazi na ufisadi unaendelea kushamiri?

Pia ukiangalia mifumo ya kisiasa,ndugu tusidanganyane,kuna direct correlation btn maendeleo ya kiuchumi na kisiasa,siasa ndio zinatoa direction kuwa tuende wapi,hata kama ukiwa na wasomi wa ainagani kama wanasiasa ni mafisadi usitegemee lolote mkuu!Hatuwezi kamwe kuwaachia mafisadi shughuli za kisiasa eti kwa sababu ya usomi?Ukimwachia fisadi nchi msomi ana kazi gani?

Wale wanaosema watu ama wasomi waachane na siasa certainly wao ndiyo wenye kufaidika na siasa....Kama uchumi ni "Mlo" then siasa ni "Jikoni" Na kama hutaki kula sumu,ni lazima usimamiaji uanzie jikoni na si mezani!

Ni kweli kuwa lazima tutoe elimu kwanza kabla ya siasa,lakini kama tusipo fix haya mambo ya siasa hiyo elimu itawasaidia nini hao walioipata zaidi zaidi watakimbia nchi kwenda kutafuta maslahi zaidi,na kwahiyo tunarudi pale pale,nini kinachowakimbiza hata wale wachache wanaopatikana kama si siasa mbovu?
You need to think deeper mkuu!
 
Tunapozungumzia ubora wa mafao.............ni bora kuangalia mfumo mzima.............sheria/katiba yetu imepwaya sana kiasi kwamba mafisadi hujiamulia kufanya watakavyo........matokeo yake si wahadhiri pekee waumiao bali hata wananchi wa kawaida kabisa anayeibiwa rasilimali zilizopo KANDO yake..............wanasiasa walitusaliti, wametusaliti na wanaendelea kutusaliti.....................

My point is kuna mambo ya msingi ambayo hatuyapiganii...............ambayo yangesababisha kila mmoja wetu kupata sehemu kidogo ya "KEKI ya Taifa"............sasa badala yakujenga mazingira ya kulazimisha mfumo ulio wa haki watu tumebakia kusema..............sisi, mimi na wao..........tumewaachia light weight makanjanja wanatusemea..........hence..........Majambazi CCM wanapata easy ride.............. with an open end.........they do whatever they want huko bungeni..............i.e. wanajipandishia masilahi kila kukicha..............The Heavy weights pamoja na majukumu mengi waliyonayo...........wanakumbuka pale wanahesabiwa na Ref...........kwamba wakati wako wa ku-retire umewadia...............

Suala la masilahi kwa Wahadhiri wetu ni la msingi sana...............na masilahi kwa wafanyakazi wengine ni muhimu pia................ideally these things are supposed to be standard kwa watumishi wa umma.............sasa ninaposikia hizi tofauti............ukimya wetu unashangaza..............

..........I miss those days na yale matamko ya Wasomi wetu kuhusu rasimu mbali mbali zitolewazo na wanasiasa..................we should never quit fighting for our rights...............
 
Back
Top Bottom