Wahadhiri UDOM waishi hotelini

NGOWILE

JF-Expert Member
Sep 8, 2011
454
258
Baadhi ya wahadhiri(doctors na maprofesa) wa chuo kikuu cha Dodoma wanaishi na familia kwenye hoteli za kifahari mkoani Dodoma kwa kutumia pesa za mlipa kodi mnyonge wa kitanzania.Kwa muda wa zaidi ya miezi kumi hadi hivi sasa.hoteli wanazoishi ni pamoja na Dodoma grand hotel,new Dodoma hotel,cana lodge,na nyinginezo.Wadau hii ni halali au ni matumizi mabaya ya fedha za watanzania hasa ukizingatia nyumba zinapatikana Dodoma kwa bei nafuu? Naomba kuwasilisha.
 
nimefanya maongezi na wawili kati yao.mmoja ana vyumba viwili ambavyo vyote viwili ni sh.200000 kwa siku bila gharama za chakula.

Kama umefanya nao mazungumzo nakushauri ukamilishe utafiti wako badala ya kutuletea habari nusu nusu
OTIS
 
Nashauri chuo kifanye mpango wa kuwatafutia nyumba za kupanga ili kuepuka kutumia fedha nyingi kwa matumizi yasiyo ya lazima. Kuna Dr. Mmoja wa sheria ameajiriwa hivi karibuni anakaa hotelini kwa gharama zake.Kila anapofuatilia utaratibu wa nyumba anapigwa danadana. Je mwalimu muhimu kama huyo akiamua kwenda kufanya kazi katika nchi nyingine atalaumiwa? Taasisi zetu ziwajali watumishi wake kwa kuwapa stahili zao.
 
Kama ni kwa pesa zao sawa,lakn ka ni zetu sie walipa kodi,haikubaliki kabisa.
 
haya ndio maisha ya bongo hakipata leo kesho wewe.. Tanzania ni miaka kumi ikiisha tu anakuja mwengine..
 
Back
Top Bottom