Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,228
Katika hospitali ya wenye matatizo
ya akili daktari alikuwa anataka
kuwapima wagonjwa watatu
wakaletwa ofisini kwake
akamuuliza wa kwanza,'Tatu
mara tatu ngapi?' , Mgonjwa
akajibu '200'. Akamuuliza wa
pili,'Tatu mara tatu ngapi?'
Mgonjwa akajibu,'Jumamosi".
Hatimae daktari akamuuliza
watatu,'Tatu mara tatu ngapi?.
Mgonjwa akajibu 'Tisa' . daktari
akafurahi sana akajua japo huyu
ana maendeleo. Akamuuliza
mgonjwa,'Umepataje jibu?'
Mgonjwa akasema,'Rahisi sana,
200 kutoa Jumamosi inabaki 9'
ya akili daktari alikuwa anataka
kuwapima wagonjwa watatu
wakaletwa ofisini kwake
akamuuliza wa kwanza,'Tatu
mara tatu ngapi?' , Mgonjwa
akajibu '200'. Akamuuliza wa
pili,'Tatu mara tatu ngapi?'
Mgonjwa akajibu,'Jumamosi".
Hatimae daktari akamuuliza
watatu,'Tatu mara tatu ngapi?.
Mgonjwa akajibu 'Tisa' . daktari
akafurahi sana akajua japo huyu
ana maendeleo. Akamuuliza
mgonjwa,'Umepataje jibu?'
Mgonjwa akasema,'Rahisi sana,
200 kutoa Jumamosi inabaki 9'