mkisyeli
JF-Expert Member
- May 6, 2013
- 260
- 76
Taarifa ambayo nimeipata sasa hivi hapa ni kuwa wagonjwa nane kati ya 56 wa mlipuko wa mabomu mkoani Arusha wanatarajia kutua na ndege saa nane mchana wa leo kutokana na hali zao kuwa mbaya na hii pia inamaana ya kuwa Hospitali zetu hazina uwezo wa kutosha mpaka kuwahamisha wagonjwa katika hospitali za rufaa??