:flypig:
chadema atasimama dr wa ukweli ccm huwezi juwa leo mpaka wapigane zengwe kwanza ndo apatikane wa kugombea saiz nimapema sana.Hapana, bwana mwacheni Prof wa ukweli, mimi naona ni afadhali yeye kuliko hii Kampuni ya conservative democratic Monopoly(CDM)