Wizzo
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 723
- 255
mmoja wa wagombea kwa jina elileema anaetarajia kuchukua form jumatatu kwa tiketi ya ccm ameanza kampen kwenye msiba uliotoke leo ktk kijiji cha mbuguni..naona wafuasi wa chadema wameamua kumpigia cm mh Nasari aje nae kwenye msiba.yangu macho ngoja nione mwisho wake