Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,211
- 113,500
Kwa mara ya kwanza, wagombea uwaziri mkuu wa Uingereza walikutana ktk mdahalo na kuelezea sera zao na maono yao ya jinsi na wapi wanataka kulipeleka taifa lao kama wakibahatika kuchaguliwa kuliongoza.
Je, Kikwete ana guts kweli za kukutana ana kwa ana na washindani wenzake na kudahalo kama hawa jamaa? Sidhani hata kiduchu! Haya furahia mdahalo.....
Je, Kikwete ana guts kweli za kukutana ana kwa ana na washindani wenzake na kudahalo kama hawa jamaa? Sidhani hata kiduchu! Haya furahia mdahalo.....
Last edited by a moderator: