Elections 2010 Wagombea urais waandike hotuba mbile na nakala kwa mwenyekiti wa tume ya uchaguzi

Mtaka Haki

JF-Expert Member
Oct 1, 2010
492
149
Kutokana na watu kuanza kuhofia wagombea kutokukubali matokeo na hata Jeshi kutishia.
Ufuatao ni ushauri wangu wa haraka wa kujiandaa kisaikolojia na kuwaandaa wafuasi.

1. Wagombea urais kama Dr. Slaa na Dkt. Kikwete waandike hotuba ya ushindi na pia waandike ya kukubali ushindi na inayoahidi kushirikiana na serikali iatakayochaguliwa na wananchi. ( Waombwe kufanya hivyo na viongozi wa dini)
2. Nakala ya hotuba hizo wakabidhi kwa mwenyekiti wa tume ya Uchaguzi na hana haja ya kutangaza yaliyomo ili mradi aseme ameridhika nayo. Hii sio sheria ni utaratibu wa kuhimiza amani.
3. Mkuu wa majeshi atamke hadharani kuwa serikali itakayochaguliwa wataiheshimu
4. Mwenyekiti wa tume atamke wazi kuwa tume itaheshimu matakwa ya wananchi na watatangaza kitakachotokea.
CHANGIA
 
Kutokana na watu kuanza kuhofia wagombea kutokukubali matokeo na hata Jeshi kutishia.
Ufuatao ni ushauri wangu wa haraka wa kujiandaa kisaikolojia na kuwaandaa wafuasi.

1. Wagombea urais kama Dr. Slaa na Dkt. Kikwete waandike hotuba ya ushindi na pia waandike ya kukubali ushindi na inayoahidi kushirikiana na serikali iatakayochaguliwa na wananchi. ( Waombwe kufanya hivyo na viongozi wa dini)
2. Nakala ya hotuba hizo wakabidhi kwa mwenyekiti wa tume ya Uchaguzi na hana haja ya kutangaza yaliyomo ili mradi aseme ameridhika nayo. Hii sio sheria ni utaratibu wa kuhimiza amani.
3. Mkuu wa majeshi atamke hadharani kuwa serikali itakayochaguliwa wataiheshimu
4. Mwenyekiti wa tume atamke wazi kuwa tume itaheshimu matakwa ya wananchi na watatangaza kitakachotokea.
CHANGIA

Na ibara ya katiba ya jamhuri ya muungano namba 41 (7) ifutwe!
 
Back
Top Bottom