PISTO LERO
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 2,819
- 1,454
Ni vyema sasa sheria za uchaguzi zikarekebishwa ili angalau mshindi wa pili na watatu waliogombea uraisi kwa vyana vya siasa watakao shindwa katika kinyang'anyiro cha uchaguzi mkuu kuingia bungeni,hii itasaidia sana kwa wale wenye malalamiko au majeraha ya kisiasa kupata mahalipa kutolea madukuduku yao,na pia ili serikali ipate michago yao ambayo italisaidia taifa kupiga hatua.tumeshhudia wagombea wengi wenyeuwezo wakiachwa na michango yao ikipotea na pengine kuzaraulika kwa sababu tu hawana mahali sahihi pakusemea na michango ingelisaidia sana taifa kwani wangewawakilisha watanzania wengi waliowachagua kipindi cha uchaguzi mkuu na wananchi tungepata muda mzuri wa kuwatathimini na kùwapima.