Mvutakamba
Member
- Jul 31, 2009
- 58
- 1
Hawa wanaukana Muungano yet wakiongea wanasema Ilaya ya CCM hapa kuna jambo limenipita kisa niko Mlimani ?
Waziri mkuu mizengo pinda na waziri wa mambo ya nje benerd membe wanaandaliwa na kanisa katoliki kuwachukua urais 2015.
Chanzo mjengwa blog.
mwiba.pinda akipewa uraisi basi mafisadi watakiona cha moto ni papo kwa papo tu ,akuna kulaza damu ,ila sasa hivi kuna uswahiba ndio unampa ugumu wa kumaliza kazi kwa haraka ,hajui amuanze nani amuache nani maana anaweza akabakia peke yake ikawa mbinde.
ww hebu jadili mada hapa hapana habari za muungano nani anautaka nani hautaki, hata kama ww unautaka umebadlisha nini katika maisha yako, wanaofaidi si hao tu wanaokuibia kodi yako kila siku, unawalaani na ikifika uchaguzi hukomi unawachagua hao hao.Hawa wanaukana Muungano yet wakiongea wanasema Ilaya ya CCM hapa kuna jambo limenipita kisa niko Mlimani ?
Tena mimi nadhani itakuwa juu ya hiyo 90%. Ki utendaji, mpaka sasa sijaona Rais yeyote wa kabla aliyempita, na Mungu kaniwezesha kuwaona na kuishi kwa siku zote walizokuwepo madarakani wote wanne na pia kidogo kabla yao.
Kikwete ni juu zaidi kwa miasili mia mingi tu. hamna cha nyerere wala mwinyi wala nkapa. wote hawampati hata robo, kwa kila kitu, kuanzia personality mpaka utendaji.
nijuavyo mimi, kikwete anaweza akashindwa uchaguzi mwakani, amini msiamini, asipokaa vyema, nchi anaachia mwakani. waislam wengi wamejipanga kuwapa cuf, ukiondoa na kura za vijana zilizo nyingi kwa chadema, kikwete atabakiwa na wanavijiji wachache tu. Mungu asaidie adondoke kwabisaaa, ili nchi hii ichukuliwe na upinzani ili wajifunze kuwa tz tunaweza tukawaweka kiganjani. Ila fujo sitaki, Mungu atuepushe na fujo mwakani.