jockey emmanuel
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 330
- 50
ETI WANAjf WENZANGU...NAPENDA KUJUA JINSI WAGENI WANAOJIUNGA NA JF WANAVYOFURAHIA KUJIUNGA,nimejaribu kujiuliza lkn sijapata jibu.Jingine ni kwamba,ni kwanini wavulana walio ktk mahusiano wanaamini kuwa sex huongeza upendo wakati inasemekana kuwa after sex before marriage,wavulana huwatangaza wasichana na kuwadharau hivyo hata wakifunga nao ndoa,uaminifu unakosekana?jambo hili wanakutana nalo wasichana wengi hasa wanaojiingiza ktk mapenzi ktk umri mdogo.....:teeth: