kuna wagen wengine hawana ustaarabu hata chembe,kuanzia kwenye misoc,kinywaj,mara tv,miguu kwenye sofa yaan vurugu,mara soksi zinanuka hajafua kaz kwel kwel
Mi kila nikienda kwa uncle huwa simkuti ila namkuta shangazi miss dutyfull basi haraka haraka anaanza nyumbani hawajamboeeh?Sawa basi naomba we angalia angalia tv hapa mi natoka kidoogo ntarudieeh,mbio mbio huku akikimbilia kuwasha ka mchina kake! Siku hizi siendi tena ati
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.