Waganga wakuu wa mikoa na wilaya wagawanyika juu ya mgomo wa madaktari

Uda

JF-Expert Member
Nov 27, 2010
811
624
kuna taarifa ya mgawanyiko mkubwa uliotokea kwa waganga wakuu wa wilaya na mikoa kuhusu mgomo wa madaktari.group la kwanza lenye vijana wengi linataka kutoa tamko dhidi ya serikali,linataka mawaziri waachie ngazi.kundi hili limeamua kutetea profession yao.kundi la pili bado linataka utii kwa serikali uendelee.
Kweli huu mgomo unaweza kuleta historia tanzania.
 
Nadhani tunahitaji upembuzi zaidi juu la hili kusema hivyo haitoshi.Kwa mfano ni wilaya gani na mikoa gani kuna mvutano zaidi na ikiwezekana hata idadi ya kila kundi.
 
zote ni propaganda! Hali ni mbaya! Hata kama wagome muhimbili tu hapatoshi!
 
Shilingi ina pande tatu. Kuna akina sisi tusiounga Madaktari wala Serikali. Mimi napendekeza Serikali ishughulikie maslahi ya wote kwa haki; si tu kwa Madaktari. Iwashushe kabisa Wabunge wawe sawa na watumishi wengine kwa kuwalipa mishahara kutokana na viwango vya elimu na ujuzi wao.
 
watu wako busy kumshughulikia Malima, huku tunafanya kuchungulia na kutoka leo uzi wake umechukua jackpot
 
Mgomo wa awali, DeD wa Wilaya ya Mufindi aliwaita madaktari na kuwaomba/kuwapiga bit wasifanye mgomo kweli wakaufyata! c ajabu hata ikiwa leo linatokea pande zingine
 
DMO's na RMO's wengi ni ma-Assistant Medical Officer,vyeti vya kuunga-unga...
 
Back
Top Bottom