Waganga wa Kienyeji

.......huko kwenu nasikia ndio wataalamu wa mambo haya, mwanaume akishikwa hachomoki!
huko ni noma mie sitaki hata kwenda naweza kuacha mke wangu bure nasikia kule unaweza ukapigwa limbwata mpk ukaacha kazi unataka ukae na demu muda wote kazini utaki kwenda
 
Habari wana jamvi, nilikuwa kifungoni nimerudi upya

Juzi kati nilimpeleka jamaa yangu mmoja nyumbani kwao kabisa alikwenda kuchukua fomu za Ubunge sasa jirani na kwao kuna mganga wa kienyeji maarufu kwa pale nilikuta kina dada wametoka DSM kufuata madawa, wako njema walikuja na gari nzuri tu ila walikuwa pale nasikia kuhusu mambo ya mahusiano na mabwana zao nasikia yule mganga ni kiboko kuna dawa anawapaka mbunyeni mtu aliyemdhamilia akigonga ngozi anapagawa hakohoi na hata kama ana mke hamkumbuki tena na anafanya chochote atakachohamriwa na demu

wenyeji wanasema kuna kipindi wanajaaga wanawake kibao pale kutoka kona mbalimbali za nchi

Kumbe uwa tunarogwa si bure kama wengi wanavyofikiria

nina shida nayo hiyo dawa plz send an email to me unielekeze huko mahali mariambura49@gmail.com
 
Imani ya uchawi ipo.

Nguvu za uchawi hazipo.

Na kwa mtaji huo hakuna mitishamba ya mapenzi.

Hakuna. Hakuna. Hakuna.
 
Imani ya uchawi ipo.

Nguvu za uchawi hazipo.

Na kwa mtaji huo hakuna mitishamba ya mapenzi.

Hakuna. Hakuna. Hakuna.


Mkuu nyani ngabu upo sahihi kabisa maana mimi ata wangu alikuwa anaamini kupata kazi mpaka aende kwa babu...nikaona huko mbele itakuwa shida ikabidi nipoteee kama upepo
 
mbona hata mahotelini kuna madawa ya kuvutia wateja watu tunakula mchuzi umepikiwa kwa maji ya maiti

We chiziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii kweli unanivunja mbavu zangu zangu jamani wewe umetoka wapi???????????????? Yaani nimecheka mpaka basi na hii ndiyo raha ya JF
 
Mademu wote haswa machangu na wa bongo muvi, wako mjini kwa ajili ya kutunzwa na waume za watu kwa dili kama hili. Wewe jiulize, demu anahamka asubuhi hana dili lolote yeye yuko bize IG na Fesibuku toka anahamka mpaka jioni kujiuza sura, akitoka yuko bar ama anakwenda tu kutembea mjini huku akizunguka kila kona kutafuta mabwana wa kumkodia nyumba.
 
sio machangu tu hata sie twataka we unadhani mkeo hataki ajengewe gorofa jamani wake za watu na nyie kapake iyo dawa huko mbunyeni hahaha ebu tuelekeze wake za wanaume zetu tukapake mbunyeni msituchoshe kutuzalisha na vizuri twavitaka mbuyeni oyeee nielekeze basi nami mbunye yangu inataka
 
Hiyo kweli kabisa,hata huku mijini kina dada wanaongoza kwa kwenda kutafuta dawa za kuwatuliza wanaume
 
hapa kila mtu anatumbua mimcho funzadume aelekeze watu waminyane kwenda huko ama kweli tzd nomaaa yale yale loliondo
 
Tatizo si uganga bali ni aina ya uganga unaotumika mfano kuna tofauti kubwa sana kati ya mganga na mpiga ramri ingawa wote ni waganga mpiga ramri kiasili ni mshirikina au mchawi kabs tena usku kazini kama kawaida, huyu mwingine ni tabibu tu kama madoctor wa hospitalini unamwelezea ttzo anakupa dawa mambo yanaendelea,kabla ya kuja wazungu na kuleta dini na kuanzisha hospitali sisi waafrika tiba zetu zilikuwa ni miti shamba,kumbukeni mkataa kwao ni mtumwa na asili haikimbiwi,tusijitie wazimu tukasahau asili yetu, mizimu ya koo zetu na mababu zetu iko kazini haifi itakutafuna tu usipopata tiba na kujifanya mzungu mweusi panadol haziishi kabatini ,neno la mungu linasema laana ya babu zako itakutandika mpaka kizazi chako cha nne sasa jiulize ww ni kizazi cha ngapi?na huko nyuma babu zako walikuwaje kiasili? je hayo yote unayopitia chanzo chake wakijua na una uhakika ni mpango wa mungu akulambe magonjwa na matatizo yasiyokatika! kama jibu ni hapana endelea kusubili utashangaa, na kuna wachungaji wanakwambia kabs ttzo ulinalo ni kubwa kwa maombi ya kawaida hulitoki sasa hapo unategemea nn? kama siyo kwenda kwa babu upone,siyo kila anaenda kwa mganga anapenda sometimes asili na koo tulimozaliwa mizimu ina nguvu kuliko tunavyofiklia so inabidi urudi asilini ili kufumua mfumo na nguvu ya hiyo mizimu kwanza
 
Tatizo si uganga bali ni aina ya uganga unaotumika mfano kuna tofauti kubwa sana kati ya mganga na mpiga ramri ingawa wote ni waganga mpiga ramri kiasili ni mshirikina au mchawi kabs tena usku kazini kama kawaida, huyu mwingine ni tabibu tu kama madoctor wa hospitalini unamwelezea ttzo anakupa dawa mambo yanaendelea,kabla ya kuja wazungu na kuleta dini na kuanzisha hospitali sisi waafrika tiba zetu zilikuwa ni miti shamba,kumbukeni mkataa kwao ni mtumwa na asili haikimbiwi,tusijitie wazimu tukasahau asili yetu, mizimu ya koo zetu na mababu zetu iko kazini haifi itakutafuna tu usipopata tiba na kujifanya mzungu mweusi panadol haziishi kabatini ,neno la mungu linasema laana ya babu zako itakutandika mpaka kizazi chako cha nne sasa jiulize ww ni kizazi cha ngapi?na huko nyuma babu zako walikuwaje kiasili? je hayo yote unayopitia chanzo chake wakijua na una uhakika ni mpango wa mungu akulambe magonjwa na matatizo yasiyokatika! kama jibu ni hapana endelea kusubili utashangaa, na kuna wachungaji wanakwambia kabs ttzo ulinalo ni kubwa kwa maombi ya kawaida hulitoki sasa hapo unategemea nn? kama siyo kwenda kwa babu upone,siyo kila anaenda kwa mganga anapenda sometimes asili na koo tulimozaliwa mizimu ina nguvu kuliko tunavyofiklia so inabidi urudi asilini ili kufumua mfumo na nguvu ya hiyo mizimu kwanza

Dizain unaonekana ni sangoma!
 
Back
Top Bottom