Waganda ni Nouma aisee.....!

Mtambuzi

Platinum Member
Oct 29, 2008
8,810
15,398
A man is forcibly circumcised in Mbale, Uganda (wenyewe huita Embalu)

2012_6largeimg220_Jun_2012_165951250-500x354.jpg
 
EMBALU3.jpg


Gwe baasaze embalu ku mpaka nga takyategeera olw'obulumi


Ngoma bado mbichi mkuu...................!
Kicheko ! hapo jamaa anagugumia kwa maumivu' lakini mwisho wa siku ataona manufaa yake na atajilaumu kwanini alichelewa kuingia katika ''huo uliwengu'' mpya.Manake sasa 'less energy full pleasure!'
 
Kweli hii ni nooumaaa! Hivi Mtambuzi, nimefikiria kipuuzi tu, je circumcision ni lazima? Maana nafahamu kuna makabila yenye utaratibu wa kutokufanya hiyo kitu. Na hofu huyo jamaa asije akawashtaki hao waliomshughulikia kwenye tume ya haki za binadamu! :wacko:

Maana hata kama kitendo chenyewe ni muhimu kwa usalama wa afya yake, bado kimefanyika katika mazingira ya kikatili na udhalilishaji mkubwa. Wangejaribu kuheshimu umri alionao na kumtunzia heshima na utu wake, na siyo kumfanyia hadharani hivi!
 
Back
Top Bottom