Kicheko ! hapo jamaa anagugumia kwa maumivu' lakini mwisho wa siku ataona manufaa yake na atajilaumu kwanini alichelewa kuingia katika ''huo uliwengu'' mpya.Manake sasa 'less energy full pleasure!'
Gwe baasaze embalu ku mpaka nga takyategeera olw'obulumi
Ngoma bado mbichi mkuu...................!
Uzee wote huo alikuwa bado hajapata jando!!
Uzee wote huo alikuwa bado hajapata jando!!
Uzee wote huo alikuwa bado hajapata jando!!
Ahahaha! Mkuu siku hizi watu wamebadilika pande za kule bana! sio kama zamani.Nataka ni-introduce hii kitu Keyrwa na Misenyi. Kuanzia Bwanjai mpk Kashosho manake watani zangu wamezidi ukaidi.
nakwambia ana mambo kidogo?ah we ngoja ifike ijumaa hapa na zile stori zake!love yu mtambuziNa wewe mzee una mambo!!!!!!!!!