Wa mmoja
Member
- Aug 4, 2009
- 99
- 0
Wazazi wamemcharaza bakora mwalimu wa shule huko Uganda baada ya kufika ofisini akiwa amelewa chakari!
Sasa alienda kufanya nini shuleni huku amelewa?
Hivi Watanzania kama hawa wapo kweli wanaoenda maofisini wakiwa wamelewa...?!
Na kama wapo wachukuliwe hatua gani?
Sasa alienda kufanya nini shuleni huku amelewa?
Hivi Watanzania kama hawa wapo kweli wanaoenda maofisini wakiwa wamelewa...?!
Na kama wapo wachukuliwe hatua gani?