BREAKING NEWS…..BREAKING NEWS!!!!!
· Wagagagigikoko on top of news again
· Safari hii kuhusu Rais ajae wa ZNZ baada ya Karume
· Muungano kupata new definition
(By a Special correspondent on Union matters)
Nairobi, Kenya.
Habari zilizoingia sasa hivi kwenye screen ya Satellite kupitia Nairobi kutoka kwa Wagagagigikoko zinasema kuwa CCM Zanzibar tayari ishampendekeza kwa siri kubwa sana (ambayo hata lile gazeti la udaku la Kulikoni hazijazipata bado) Dr Mohamed Gharib Bilal (a former Chief Minister in Zanzibar under former President Dr Salmin Amour) kuwa ndio pendekezo lao kwa Halmashuri Kuu ya Chama ya kuchagua Rais wa Zanzibar mapema hapo mwakani.
Wagagagigikoko wanaeleza kuwa yale mazungumzo ya juzi ya Rais Karume na viongozi wa CUF yalikuwa juu ya mada hii. Wakifafanua zaidi walisema kuwa, " Karume alimwita Maalim Seif ili apate baraka zake juu ya Bilal na alizipata".
Walivyobanwa zaidi juu ya hali hii yakutatanisha na kuulizwa vipi Rais wa CCM aulizwe Maalim Seif, Wagagagigikoko walisema kuwa" Serikali inayokuja ni serikali ya mseto na kama Maalim Seif hatomkubali huyo Rais wa CCM anaekuja, basi huo mseto hautosongwa. Ndio maana Karume akaona bora amuulize Maalim na mapema".
"Katika wote waliofikiriwa Bilal ndio pekee mwenye msimamo wa kati" na huku wakiendelea kusema kuwa, " Japokuwa ni vigumu sana kumuona Bilal kama ni mtu wa katikati wakati yeye kafungana sana na yule alieitwa mbogo na Nyerere kwa ukaidi, yaani Kommandoo Salmin Amour, lakini siku nyingi zimepita na mambo mengi yamebadilika kisiasa pia"
"Kwa ilivyo Bilal alikuwa ndio chaguo la Waznz miaka 10 iliyopita, lakini Chamwino ikatumia turufu, kwasababu Kommandoo bado alikuwa mwenye nguvu sana kule ZNZ siku zile. Kumkataa Bilal siku zile ilikuwa ni kumvunja nguvu Kommandoo ambae alionekana akitaka kuivuta ZNZ kidogo kidogo kuwa more independent from Mainland kuliko inavyotakiwa na CCM", aliezea mwanasiasa mmoja.
"Kwa sasa hivi ZNZ haina mtu ambae ataweza kuchukua msimamo ule wa Salmin na kuiponya ZNZ kutokana na makucha ya kikoloni ya Bara, isipokuwa serikali ya mseto ya CUF with Bilal at the helm. Waznz sasa washajua kuwa wakifanya mchezo Pinda atawameza, kwahivyo 2010 wataungana pamoja ili kuliondoa tishio hilo la Pinda", aliendela muandishi huyo.
Wagagagigikoko walipoulizwa kama huo mseto na Bilal at the top ni hatari kwa Muungano au vipi, walisema, "Hakuna hatari yoyote kwa Muungano. Kama kuna watu wanaouunga mkono Muungano zaidi hapa Tanzania leo basi ni CUF, kwasababu ambazo zinafahamika. Bila ya Bara demokrasia ZNZ haipo - hilo CUF wanalijua vizuri sana. Bilal na serikali yake ya mseto wanakuja kuipa msisimko na msimamo mpya ZNZ juu ya Muungano. Kwa mazungumzo yote ya mambo ya Muungano, mawaziri wa CUF katika mseto ndio watakaotumwa huko Bara kuipigania ZNZ, kwani itakuwa vigumu kazi hio kufanywa na mawaziri wa CCM katika mseto. In the end, after Bilal's 10 years' rule, Tanzania might be reduced to a Union with only two common (Union) Ministries between the Mainland and the Isles – one encompassing one military command and the other embodying one foreign policy, but with different other Ministries, such as Finance, Higher Education, Natural Resources, etc etc."
"Itakuwa ni vita tupu, sio juu ya mafuta bali waznz watataka tena kujiunga na ule Umoja wa Kiislamu ili wasaidiwe, kwani huo msaada wa hivi sasa wa vijisenti vinavyotoka Bara pamoja na umeme wa bure haviwafikishi popote".
Alipoulizwa Mgagagigikoko mmoja kama ni kweli babu yake Bilal anatoka Uganda, alicheka na huku akisema, "Who else is more destined to rule ZNZ than a Ugandan or a Malawian? Au mmemsahau yule Field Marshal – sio yule aliyekuwa akikata watu miguu kwa mapanga ukumbini hivi majuzi, bali yule aliyoongoza mapinduzi ya ZNZ ya 1964?"
"Kusema kweli, tusitaje nani babu yake katoka wapi na nani katoka wapi. Waznz wote tunajua ni wageni. ZNZ ni nchi ya watu wa Bagamoyo na kwahivyo Pinda anayohaki kuichukua na kuirejesha ikawa part of Tanganyika", aliendela muandishi huyo wa Wagagagigikoko huku watu wapembeni waliokuwa wakisikiliza mazungumzo hayo wakipigwa na butwaaa na matamshi hayo ya kisaliti kutoka kwa Wagagagigikoko.
"Atakae leta fujo katika huu mseto wa ZNZ atakuwa yule mfanya biashara wa ZNZ aitwae Raza. Huyu Raza ndio ataleta machafuko mengi kwa kujitia kwake kuwa yeye anawasemea waliyo wengi. CUF hawamtaki huyu Raza hata kwa dakika moja, ambae inasadikika kuwa yupo karibu sana na Bilal hivi sasa kuliko enzi zile za Salmin."
"Raza must be banished from the Isles, else ataleta mvurugano mkubwa ZNZ. CUF lazima ihakikishe kuwa huyu jamaa yupo nje, kwani ni shawishi mkubwa katika siasa za ZNZ/CCM", walimalizia Wagagagigikoko huku wakiweka sawa malubega yao waliovaa na kuingia garini.
Sources: Wagagagigikoko News Network (WANENE - The No.1 Authentic News Disseminators in Tanzania)
· Wagagagigikoko on top of news again
· Safari hii kuhusu Rais ajae wa ZNZ baada ya Karume
· Muungano kupata new definition
(By a Special correspondent on Union matters)
Nairobi, Kenya.
Habari zilizoingia sasa hivi kwenye screen ya Satellite kupitia Nairobi kutoka kwa Wagagagigikoko zinasema kuwa CCM Zanzibar tayari ishampendekeza kwa siri kubwa sana (ambayo hata lile gazeti la udaku la Kulikoni hazijazipata bado) Dr Mohamed Gharib Bilal (a former Chief Minister in Zanzibar under former President Dr Salmin Amour) kuwa ndio pendekezo lao kwa Halmashuri Kuu ya Chama ya kuchagua Rais wa Zanzibar mapema hapo mwakani.
Wagagagigikoko wanaeleza kuwa yale mazungumzo ya juzi ya Rais Karume na viongozi wa CUF yalikuwa juu ya mada hii. Wakifafanua zaidi walisema kuwa, " Karume alimwita Maalim Seif ili apate baraka zake juu ya Bilal na alizipata".
Walivyobanwa zaidi juu ya hali hii yakutatanisha na kuulizwa vipi Rais wa CCM aulizwe Maalim Seif, Wagagagigikoko walisema kuwa" Serikali inayokuja ni serikali ya mseto na kama Maalim Seif hatomkubali huyo Rais wa CCM anaekuja, basi huo mseto hautosongwa. Ndio maana Karume akaona bora amuulize Maalim na mapema".
"Katika wote waliofikiriwa Bilal ndio pekee mwenye msimamo wa kati" na huku wakiendelea kusema kuwa, " Japokuwa ni vigumu sana kumuona Bilal kama ni mtu wa katikati wakati yeye kafungana sana na yule alieitwa mbogo na Nyerere kwa ukaidi, yaani Kommandoo Salmin Amour, lakini siku nyingi zimepita na mambo mengi yamebadilika kisiasa pia"
"Kwa ilivyo Bilal alikuwa ndio chaguo la Waznz miaka 10 iliyopita, lakini Chamwino ikatumia turufu, kwasababu Kommandoo bado alikuwa mwenye nguvu sana kule ZNZ siku zile. Kumkataa Bilal siku zile ilikuwa ni kumvunja nguvu Kommandoo ambae alionekana akitaka kuivuta ZNZ kidogo kidogo kuwa more independent from Mainland kuliko inavyotakiwa na CCM", aliezea mwanasiasa mmoja.
"Kwa sasa hivi ZNZ haina mtu ambae ataweza kuchukua msimamo ule wa Salmin na kuiponya ZNZ kutokana na makucha ya kikoloni ya Bara, isipokuwa serikali ya mseto ya CUF with Bilal at the helm. Waznz sasa washajua kuwa wakifanya mchezo Pinda atawameza, kwahivyo 2010 wataungana pamoja ili kuliondoa tishio hilo la Pinda", aliendela muandishi huyo.
Wagagagigikoko walipoulizwa kama huo mseto na Bilal at the top ni hatari kwa Muungano au vipi, walisema, "Hakuna hatari yoyote kwa Muungano. Kama kuna watu wanaouunga mkono Muungano zaidi hapa Tanzania leo basi ni CUF, kwasababu ambazo zinafahamika. Bila ya Bara demokrasia ZNZ haipo - hilo CUF wanalijua vizuri sana. Bilal na serikali yake ya mseto wanakuja kuipa msisimko na msimamo mpya ZNZ juu ya Muungano. Kwa mazungumzo yote ya mambo ya Muungano, mawaziri wa CUF katika mseto ndio watakaotumwa huko Bara kuipigania ZNZ, kwani itakuwa vigumu kazi hio kufanywa na mawaziri wa CCM katika mseto. In the end, after Bilal's 10 years' rule, Tanzania might be reduced to a Union with only two common (Union) Ministries between the Mainland and the Isles – one encompassing one military command and the other embodying one foreign policy, but with different other Ministries, such as Finance, Higher Education, Natural Resources, etc etc."
"Itakuwa ni vita tupu, sio juu ya mafuta bali waznz watataka tena kujiunga na ule Umoja wa Kiislamu ili wasaidiwe, kwani huo msaada wa hivi sasa wa vijisenti vinavyotoka Bara pamoja na umeme wa bure haviwafikishi popote".
Alipoulizwa Mgagagigikoko mmoja kama ni kweli babu yake Bilal anatoka Uganda, alicheka na huku akisema, "Who else is more destined to rule ZNZ than a Ugandan or a Malawian? Au mmemsahau yule Field Marshal – sio yule aliyekuwa akikata watu miguu kwa mapanga ukumbini hivi majuzi, bali yule aliyoongoza mapinduzi ya ZNZ ya 1964?"
"Kusema kweli, tusitaje nani babu yake katoka wapi na nani katoka wapi. Waznz wote tunajua ni wageni. ZNZ ni nchi ya watu wa Bagamoyo na kwahivyo Pinda anayohaki kuichukua na kuirejesha ikawa part of Tanganyika", aliendela muandishi huyo wa Wagagagigikoko huku watu wapembeni waliokuwa wakisikiliza mazungumzo hayo wakipigwa na butwaaa na matamshi hayo ya kisaliti kutoka kwa Wagagagigikoko.
"Atakae leta fujo katika huu mseto wa ZNZ atakuwa yule mfanya biashara wa ZNZ aitwae Raza. Huyu Raza ndio ataleta machafuko mengi kwa kujitia kwake kuwa yeye anawasemea waliyo wengi. CUF hawamtaki huyu Raza hata kwa dakika moja, ambae inasadikika kuwa yupo karibu sana na Bilal hivi sasa kuliko enzi zile za Salmin."
"Raza must be banished from the Isles, else ataleta mvurugano mkubwa ZNZ. CUF lazima ihakikishe kuwa huyu jamaa yupo nje, kwani ni shawishi mkubwa katika siasa za ZNZ/CCM", walimalizia Wagagagigikoko huku wakiweka sawa malubega yao waliovaa na kuingia garini.
Sources: Wagagagigikoko News Network (WANENE - The No.1 Authentic News Disseminators in Tanzania)