Boimanda jr zubeir
Member
- Feb 24, 2012
- 6
- 0
Lini wafungwa waliopewa adhabu ya kifo watatendewa haki kwani wanapewa adhabu mara mbili..kuishi kwa wasiwasi kuwa watakufa any time then hawafi..
Kama kweli waliwaua wenzao kwa kukusudia waache wateseke
Mkuu unataka kuniambie tenure ya judge/magistrate hakuna hapa kwetu..?ikiwa katiba inaweka wazi kila mtu ana haki ya kuishi basi hii adhabu ifutwe tu..Mkuu fanya uwatembelee hawa wafungwa uwaone...