Dio
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 1,274
- 158
Kuna habari ameipost JOHN Mnyika kwenye acount yake ya Facebook kuhusu serikali kuficha mgomo wa wafungwa kutokula kwa siku tatu,hapa ninatumia simu ndio maana nikashndwa kuiweka hapa,kama vipi check ndani ya facebook halafu muiweke hapa
asanteni na nawasilisha.
asanteni na nawasilisha.