Wana JF,
Imekua desturi sana serikali hii ya Magamba kuwahamisha wafugaji katika maeneo yao na kuwapatia wawekezaji. Kibaya zaidi wana waambia wafugaji hao waende walikotoka, Je Mwekezaji ndio mzalendo au Mtanzania kuliko mfugaji aliekuwa toka enzi za mababu zetu? Na je huyu mwekezaji yeye katoka wapi? Obvious katoka nje ya nchi!!
Hii serikali legelege sana, sasa hivi kila kona na vilio na laana kwa serikali hii. Wakati akihutubia Bunge kwa mara ya kwanza 2005 huyu Kikwete alisema; "Wafugaji wabadilike maana ng'ombe anakonda na mfugaji anakonda pia".
My take: Kwani wafugaji wameanza kufuga leo? Huo ni mfumo wao wa maisha toka zamani, hawakuanza leo.Na huyu kikwete akiwa Bagamoyo na akiwa mdogo naye alichunga tena ng'ombe wa kimasai na alikuwa akinywa na kula mazao yatokanayo mifugo na huo ufugaji anaouita leo "holela". Yaani watu wanasahau walikotoka!!! Unatupa mbachao kwa msala upitao???!!!
Anyway; inauma sana maana hawa wafugaji ni raia halisi wa nchi hii, kikubwa wawekewe tu utaratibu mzuri wa kufuga ikiwa ni pamoja na miundo mbinu katika ufugaji wao.
Imekua desturi sana serikali hii ya Magamba kuwahamisha wafugaji katika maeneo yao na kuwapatia wawekezaji. Kibaya zaidi wana waambia wafugaji hao waende walikotoka, Je Mwekezaji ndio mzalendo au Mtanzania kuliko mfugaji aliekuwa toka enzi za mababu zetu? Na je huyu mwekezaji yeye katoka wapi? Obvious katoka nje ya nchi!!
Hii serikali legelege sana, sasa hivi kila kona na vilio na laana kwa serikali hii. Wakati akihutubia Bunge kwa mara ya kwanza 2005 huyu Kikwete alisema; "Wafugaji wabadilike maana ng'ombe anakonda na mfugaji anakonda pia".
My take: Kwani wafugaji wameanza kufuga leo? Huo ni mfumo wao wa maisha toka zamani, hawakuanza leo.Na huyu kikwete akiwa Bagamoyo na akiwa mdogo naye alichunga tena ng'ombe wa kimasai na alikuwa akinywa na kula mazao yatokanayo mifugo na huo ufugaji anaouita leo "holela". Yaani watu wanasahau walikotoka!!! Unatupa mbachao kwa msala upitao???!!!
Anyway; inauma sana maana hawa wafugaji ni raia halisi wa nchi hii, kikubwa wawekewe tu utaratibu mzuri wa kufuga ikiwa ni pamoja na miundo mbinu katika ufugaji wao.