una tatizo, nafikiri wewe ndo utangulie hapo kwenye red.
naona akili zako sawa na lile bomba linalopeleka kinyesi kwenye chemba malizia mwenyewe
una tatizo, nafikiri wewe ndo utangulie hapo kwenye red.
Adam Malima - Ufuska,
Mwigulu LM Nchemba - Ufuska,
George Simbachawene - Ufuska
wewe ndo urudi shule kwanza kama hata kuandika ni shida shule yako iko wapi?mbowe- aende shule kwanza kasulumbai-// vicenti-// grace kiwelu-// susan kiwanga-//
Mwigulu madelu lameck nchemba,kimbiza mwizi meeeen!chapa hao chademu mboko za mgongo hadi watie adabu.
Yaani kama Mwigulu na Shibuda...huwa wananichefua kabisa!
dhaifu tu hata hujui usemalo
Sylvester Mabumba
Anne Kilango
Hawa Ghasia
Mkuu, ahsante kwa kunikumbusha....kiukweli nilisahau hawa watu wawili, NDUGAI na LUKUVI' hata hivyo teyari wako kwenye listUmenisikitisha sana kumsahau JOB NDUGAI kwenye hii list yko...........!!!! Ni technical error au haraka ya ku post?
Mwigulu na wasira si ndio wanaoibomoa chadema?wana shida gani, waache waendelee kutoa elimu ya uraia kwa umma.
Naona hii imekaa kichama zaidi kuliko kitaifa. Hili ndilo tatizo la Jf. Wapiga debe wa Chadema wanaponda wabunge wa CCM tu na wale wa CCM wanaponda wa Chadema; uzalendo haupo. Hii ndio maana CCM itatawala kwa miaka mingi sana. Tunataka maendeleo ya nchi na si chama. Ni upungufu wa mawazo kufikiria kuwa kama CCM ikiondoka basi chama kingine kitaifanya nchi iendelee kwa kasi; inaweza ikawa tofauti sana na tukajuta kama walivyojuta Zambia baada ya kuingoa UNIP.
Hivi wabunge hawa wafuatao walichaguliwa na nani? walijichagua wenyewe au walichaguliwa na wananchi?
MWIGURU,LUSINDE,WASIRA, E.S MANYANYA na JOHN SHIBUDA....hakika hawa si wabunge wala si wawakilishi wa wananchi, Hawa ni watu hatari sana kwa mustakabali wa Taifa letu....yaani hawa watu ni zaidi ya mashabiki wa CCM waliokunywa maji ya bendera ya chama...yaani wako teyari nchi iingie kwenye machafuko ilimradi ccm itawale milele...hawa watu ni zaidi ya propaganda.
Ombi langu nalielekeza kwa wananchi wa majimbo husika walikotokea wabunge hawa chonde chonde hakikisheni uchaguzi wa mwaka 2015 hawa watu hamuwachagui tena.
Pia nawaombeni viongozi wa CDM hakikisheni munapata watu bora na makini ambao mtawasimamisha kupambana na hawa watu (SUMU) kwenye majimbo husika....vinginevyo nchi itaingia kwenye machafuko ya hatari sana.
Nawasilisha kwa hoja pana.
Bora hata ya hao mafisadi kuliko SUMU hizi mkuu....yaani wanaropoka ujinga ujinga mtupuMkuu mbona hawa wote ni cha mtoto. Haya mambo yao ni umalaya na utoto tu. Tumeshawasahau mafisadi waliotufikisha hapa.
Huyu mama anatoka jimbo moja na komba kijijini kwao ni njambe,kihagara kule watu wanatumia vichwa kufuga nywele tu.