mshikachuma
JF-Expert Member
- Dec 2, 2010
- 2,853
- 626
- Thread starter
- #41
Ahsante sanaHuwezi tambua uwezo wa mtu aliye kimya amekaa au kasimama, ila akianza kuongea tu na baadaye kutenda chochote hakika unaweza kumfaham IQ yake.
Hao jamaa kimsingi ni waropokaji sana na huwa hawajali wanaropoka nini.