Malaria Sugu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 2,653
- 264
Mwigulu na wasira si ndio wanaoibomoa chadema?wana shida gani, waache waendelee kutoa elimu ya uraia kwa umma.
Hivi wabunge hawa wafuatao walichaguliwa na nani? walijichagua wenyewe au
walichaguliwa na wananchi? MWIGURU,LUSINDE,WASIRA, E.S MANYANYA na JOHN
SHIBUDA....hakika hawa si wabunge wala si wawakilishi wa wananchi, Hawa ni watu
hatari sana kwa mustakabali wa Taifa letu....yaani hawa watu ni zaidi ya mashabiki
wa ccm waliokunywa maji ya bendera ya chama...yaani wako teyari nchi iingie kwe
nye machafuko ilimradi ccm itawale milele...hawa watu ni zaidi ya propaganda.
Ombi langu nalielekeza kwa wananchi wa majimbo husika walikotokea wabunge hawa
chonde chonde hakikisheni uchaguzi wa mwaka 2015 hawa watu hamuwachagui tena.
Pia nawaombeni viongozi wa CDM hakikisheni munapata watu bora na makini ambao mu
tawasimamisha kupambana na hawa watu(SUMU) kwenye majimbo husika....vinginevyo
nchi nchi itaingia kwenye machafuko ya hatari sana. - Nawasilisha kwa hoja pana.
Mnyika,tobo lissu,halima mdee aka kisauti,kichaa msigwa aende mirembe,
Mwigulu na wasira si ndio wanaoibomoa chadema?wana shida gani, waache waendelee kutoa elimu ya uraia kwa umma.
lazima mkome nyie chademu,hawa lazima waendelee kuwanyima usingizi na uchaguzi ujao lazima wapite bila kupingwa,hakuna kulala mpaka hawa wachaga wasambaratike.
mbowe- aende shule kwanza
kasulumbai-//
vicenti-//
grace kiwelu-//
susan kiwanga-//
Una tatizo, nafikiri wewe ndo utangulie hapo kwenye red.
Mkuu, ndiyo maana mie nikaja na mada hii ya kuwa hao 4 wasirudi tena mjengoni....maana hao ndiyo mabingwa wa propaKumbe, Mnyika, Lissu, Mdee, na wengine wanaochachafya bunge nao ni Wachaga??? U-kabila utakutoka lini "mgongoni"??
Ha ha haa umenichekesha sana mkuu!Kaka hawa si wakubishana nao dawa yao imeshaiva 20 kumi na tano tutawapakulia wainywe kinguvu hata wakitema watainywa kwa bakora labda watapike
Kumbe, Mnyika, Lissu, Mdee, na wengine wanaochachafya bunge nao ni Wachaga??? U-kabila utakutoka lini "mgongoni"??
Mkuu ni kweli, lakini wengine wanahafadhali kidogo....hivi Lukuvi au Mwigulu unaweza kumfananisha na Deo Filikunjombe?Wabunge wote Wa CCM kwani ni wanafiki ...