Wafuatao waliwahi kukutana uso kwa uso na busara na hasira za Mwalimu Nyerere!..

1. Idd Amini - Alipoivamia Tz.... Mwalimu alitamka tutampiga nduli!.. Na kweli Idd Amini alipigwa hadi akaikimbia Uganda....

2. Kolimba - Alipotamka CCM imepoteza Dira na Mwelekeo... Mwalimu alimwita Dodoma akamuuliza nani kakutuma useme hivyo?!.. Ndio ukawa mwisho wa Kolimba!..

3. Samweli Sitta - Alipokuwa kiongozi wa serikali ya wanafunzi UDSM aliongoza mgomo wa wanafunzi wenzake kudai siagi na maziwa!... Mwalimu aliibuka pale chuoni akamuuliza Samweli Samweli kwenu mnakunywa maziwa kweli?!.. Akamwambia lala chini, akamcharaza bakora na mgomo ukaishia hapo hapo!...

4. Abdul Jumbe! - Alipotaka serikali tatu!.. Nyerere alimuuliza moja kujumlisha moja ni ngapi?!.. Jumbe akajibu ni mbili!.. Nyerere akamwambia kama ni mbili mbona unataka serikali tatu?!.. Huo ndio ukawa mwisho wa Abdul Jumbe kuwa Rais wa Zanzibar!..

5. John Samwel Malecela - Ni baada ya taarifa kuzagaa kuwa amebadili dini na jina ili apate kuungwa mkono na nchi za kiislamu kugombea Urais mwaka 1995!.. Nyerere alimwambia wee John wewe umeenda Arabuni mara moja umebadilisha jina sasa unaitwa Jumanne!. Ukienda mara ya pili si utabadilisha kabila?!... Huo ukawa mwisho wa ndoto zake kuwa Rais wa Tz !...

6. Edward Lowassa - Alipokodi ndege binafsi ikampeleka hadi dodoma kwenye vikao vya mchujo wa wagombea Urais kupitia CCM mwaka 1995 alimpa lift JK!.. Nyerere alimuuliza mmekuja na Ndege dodoma pesa mmetoa wapi?!.. Jina la Lowassa likakatwa kabla ya vikao vya mchujo!...
Hivi huyu mzee angekuwepo mpaka leo ingekuwaje???
Kuna kale kahabari ka waliotaka kumpindua...kenyewe vip?..au hakuwa na hasira nao???
Na vip wakina Kambona?

Tuache mbwembwe zake, huyu jamaa nae alikuwa na swaga za kidictator walahi tena.
 
1. Idd Amini - Alipoivamia Tz.... Mwalimu alitamka tutampiga nduli!.. Na kweli Idd Amini alipigwa hadi akaikimbia Uganda....

2. Kolimba - Alipotamka CCM imepoteza Dira na Mwelekeo... Mwalimu alimwita Dodoma akamuuliza nani kakutuma useme hivyo?!.. Ndio ukawa mwisho wa Kolimba!..

3. Samweli Sitta - Alipokuwa kiongozi wa serikali ya wanafunzi UDSM aliongoza mgomo wa wanafunzi wenzake kudai siagi na maziwa!... Mwalimu aliibuka pale chuoni akamuuliza Samweli Samweli kwenu mnakunywa maziwa kweli?!.. Akamwambia lala chini, akamcharaza bakora na mgomo ukaishia hapo hapo!...

4. Abdul Jumbe! - Alipotaka serikali tatu!.. Nyerere alimuuliza moja kujumlisha moja ni ngapi?!.. Jumbe akajibu ni mbili!.. Nyerere akamwambia kama ni mbili mbona unataka serikali tatu?!.. Huo ndio ukawa mwisho wa Abdul Jumbe kuwa Rais wa Zanzibar!..

5. John Samwel Malecela - Ni baada ya taarifa kuzagaa kuwa amebadili dini na jina ili apate kuungwa mkono na nchi za kiislamu kugombea Urais mwaka 1995!.. Nyerere alimwambia wee John wewe umeenda Arabuni mara moja umebadilisha jina sasa unaitwa Jumanne!. Ukienda mara ya pili si utabadilisha kabila?!... Huo ukawa mwisho wa ndoto zake kuwa Rais wa Tz !...

6. Edward Lowassa - Alipokodi ndege binafsi ikampeleka hadi dodoma kwenye vikao vya mchujo wa wagombea Urais kupitia CCM mwaka 1995 alimpa lift JK!.. Nyerere alimuuliza mmekuja na Ndege dodoma pesa mmetoa wapi?!.. Jina la Lowassa likakatwa kabla ya vikao vya mchujo!...
Hivi huyu mzee angekuwepo mpaka leo ingekuwaje???
Kambona, O.
 
Huuu uzi upo hapa mda mrefu saaaana... halaf hapo kwenye abdul jumbe ndo nani huyo ?? Umecopy hadi makosa.. rekebisha na ufanye aknowlegement..
 
Wengi wetu tunamzugumzia Mwalimu kwa kuhadisiwa tu.
Nawengi wanaomuhadithia Mwalimu aidha wanaohadithia kwa woga au kwa maslahi fulani aidha ya kisiasa au ya kidini.
 
Ila kipindi chake watu walikuwa wanafanya kazi kwelikweli.

Mnakumbuka kilimo cha kufa na kupona?
 
Namuuliza Nyerere ukichanganya sukari na chumvi unapata vitu vingapi?

Ukichanganya kijani na njano unapata rangi gani?

Neno lake si sheria.
 
1. Idd Amini - Alipoivamia Tz.... Mwalimu alitamka tutampiga nduli!.. Na kweli Idd Amini alipigwa hadi akaikimbia Uganda....

6. Edward Lowassa - Alipokodi ndege binafsi ikampeleka hadi dodoma kwenye vikao vya mchujo wa wagombea Urais kupitia CCM mwaka 1995 alimpa lift JK!.. Nyerere alimuuliza mmekuja na Ndege dodoma pesa mmetoa wapi?!.. Jina la Lowassa likakatwa kabla ya vikao vya mchujo!...
Hivi huyu mzee angekuwepo mpaka leo ingekuwaje???

7. Fundikira. Alipokuwa Waziri wa Sheria akachukua rushwa toka kwa mzungu na kuwekwa ndani na kupigwa viboko 12 wakati anaingia, 12 wakati anatoka ndani.
 
Kati ya hao sita samweli sita ndiye aliyepata adhabu kubwa kuliko wote kwa kucharazwa viboko sita na hadi leo hanywi maziwa.
 
1. Idd Amini - Alipoivamia Tz.... Mwalimu alitamka tutampiga nduli!.. Na kweli Idd Amini alipigwa hadi akaikimbia Uganda....

2. Kolimba - Alipotamka CCM imepoteza Dira na Mwelekeo... Mwalimu alimwita Dodoma akamuuliza nani kakutuma useme hivyo?!.. Ndio ukawa mwisho wa Kolimba!..

3. Samweli Sitta - Alipokuwa kiongozi wa serikali ya wanafunzi UDSM aliongoza mgomo wa wanafunzi wenzake kudai siagi na maziwa!... Mwalimu aliibuka pale chuoni akamuuliza Samweli Samweli kwenu mnakunywa maziwa kweli?!.. Akamwambia lala chini, akamcharaza bakora na mgomo ukaishia hapo hapo!...

4. Abdul Jumbe! - Alipotaka serikali tatu!.. Nyerere alimuuliza moja kujumlisha moja ni ngapi?!.. Jumbe akajibu ni mbili!.. Nyerere akamwambia kama ni mbili mbona unataka serikali tatu?!.. Huo ndio ukawa mwisho wa Abdul Jumbe kuwa Rais wa Zanzibar!..

5. John Samwel Malecela - Ni baada ya taarifa kuzagaa kuwa amebadili dini na jina ili apate kuungwa mkono na nchi za kiislamu kugombea Urais mwaka 1995!.. Nyerere alimwambia wee John wewe umeenda Arabuni mara moja umebadilisha jina sasa unaitwa Jumanne!. Ukienda mara ya pili si utabadilisha kabila?!... Huo ukawa mwisho wa ndoto zake kuwa Rais wa Tz !...

6. Edward Lowassa - Alipokodi ndege binafsi ikampeleka hadi dodoma kwenye vikao vya mchujo wa wagombea Urais kupitia CCM mwaka 1995 alimpa lift JK!.. Nyerere alimuuliza mmekuja na Ndege dodoma pesa mmetoa wapi?!.. Jina la Lowassa likakatwa kabla ya vikao vya mchujo!...
Hivi huyu mzee angekuwepo mpaka leo ingekuwaje???
Wapo wengi tu...
mmojawapo anaitwa Tuntemeke Sanga
 
Lakini pia Mwalimu Nyerere maamuzi yake kuna wakati alimsaidia Edward Lowasa, alipokuwa anasoma UDSM alishikwa na kibuti, ilikuwa afukuzwe lakini mwalimu kwa kuwa alikuwa mkuu wa chuo, akasema asifukuzwe, lengo lake ilikuwa kila kabila kuwe na msomi
 
kumbe spika mstaafu alikuwa analilia masiwa while yupo chuo kikuu kabisa?jdo maana kwenye bunge la katiba alikuwa anavurunda
 
Ninachoomba ni haya yote yawe ni story za vichochoroni, kama ni kweli basi matatizo ya Tanzania yeye ndiye muasisi. Hii ni kwa sababu huwezi kuwa muasisi wa mema tu, yakitajwa mabaya haupo.
Nasikia alikuwa na tabia ya kuchana vyeti vya watu vya taaluma! mfano umesoma nje umepata Phd, kama ukileta longolongo anakwambia leta cheti chako hapa anakichana mbele yako! pia ukizidi kujifanya mjuaji unaweka kizuizini
 
Lakini pia Mwalimu Nyerere maamuzi yake kuna wakati alimsaidia Edward Lowasa, alipokuwa anasoma UDSM alishikwa na kibuti, ilikuwa afukuzwe lakini mwalimu kwa kuwa alikuwa mkuu wa chuo, akasema asifukuzwe, lengo lake ilikuwa kila kabila kuwe na msomi
Kumbe alianza figisufigisu long duh
 
Back
Top Bottom