hiyo mipolisi na hao wakuu serikalini natilia shaka sana fikra zao juu ya haki na uhuru wa kuongea pamoja na uhuru wa kufikiri. siwapendi CUF , lakini wanayo haki yakuongea na kutoa maoni yao bila kusumbuliwa na mtu yoyote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.