M-pesa
JF-Expert Member
- Sep 4, 2011
- 602
- 151
panya a.k.a koyo....panya buku, symbils a.k.a ndezi panya na maduduwasha a.k.a viwavi ni chakula cha enzi kwa jamii ya wafipa. Niliwahi tembelea kijiji kimoja kilichopo mpakani mwa zambia na TZ kinaitwa matai na kushuhudia kwa macho yangu vyakula tajwa vikiliwa