muislamsafi
Member
- Jan 25, 2012
- 78
- 20
Nimesoma bango moja linalotengenezwa kwaajili ya maandamano ya kesho
siku ya wafanyakazi nikakutana na ujumbe huu "mshahara duni.kodi kubwa
na mfumuko wa bei ni pigo kwa wafanya kazi"nahisi ujumbe huu unaelekezwa
kwa serikali.
My take: kama wafanya kazi wa serikali wanaona kuwa mshahara ni duni kodi ni kubwa
na mfumuko wa bei nawanaweza kuieleza serikali katika maandamano hayo rasmi basi nao wamechoka
na sisiemu inakufa mbaya kabisa
original
siku ya wafanyakazi nikakutana na ujumbe huu "mshahara duni.kodi kubwa
na mfumuko wa bei ni pigo kwa wafanya kazi"nahisi ujumbe huu unaelekezwa
kwa serikali.
My take: kama wafanya kazi wa serikali wanaona kuwa mshahara ni duni kodi ni kubwa
na mfumuko wa bei nawanaweza kuieleza serikali katika maandamano hayo rasmi basi nao wamechoka
na sisiemu inakufa mbaya kabisa
original