mjunguonline
Member
- Mar 10, 2011
- 73
- 5
Hakika nchi yetu sijui inakwenda wapi ndugu zangu.Huku "LONGIDO",wafanyakazi wa Halmashauri ya Wilaya.Wameamuliwa na MKURUGENZI MTENDAJI kufunga Ofisi na kwenda kwenye MAANDAMANO Mkoani "Arusha" ya maadhimisho ya Miaka 50 ya Tz
Hivi navyowapa taarifa,Ofisi zote za Halmashauri,zimefungwa,na hakuna Huduma yoyote inayopatikana
Hivi,watanzania tunakwenda wapi?Inaingia akilini kweli,watu mfunge Ofisi,na kuondoka wote na kwenda kwenye maandamano?
Mi nadhani,ingekuwa ni busara,kama wangeenda baadhi,na wengine wabaki,kufanya kazi,kwa niaba ya wenzao!Kinachouma zaidi ni kwamba!Kutoka LONGIDO hadi ARUSHA ni Km 86.Mkurugenzi kajaza mafuta,ya kwenda na kurudi Kwa Gari km 7 aina ya Landcruser.Ivi huu si ufujaji wa Mali za Umma.
Hii ndio Tanzania,inayoazimisha miaka 50 ya uhuru!
Hivi navyowapa taarifa,Ofisi zote za Halmashauri,zimefungwa,na hakuna Huduma yoyote inayopatikana
Hivi,watanzania tunakwenda wapi?Inaingia akilini kweli,watu mfunge Ofisi,na kuondoka wote na kwenda kwenye maandamano?
Mi nadhani,ingekuwa ni busara,kama wangeenda baadhi,na wengine wabaki,kufanya kazi,kwa niaba ya wenzao!Kinachouma zaidi ni kwamba!Kutoka LONGIDO hadi ARUSHA ni Km 86.Mkurugenzi kajaza mafuta,ya kwenda na kurudi Kwa Gari km 7 aina ya Landcruser.Ivi huu si ufujaji wa Mali za Umma.
Hii ndio Tanzania,inayoazimisha miaka 50 ya uhuru!