??? Unashangaza sana!!
Ni kweli mkuu na mie nilikuwa maeneo hayo! Inasikitisha sana hizi ajali za njia panda ya Himo, nakumbuka ile ya mwaka Juzi eneo hilo hilo ikihisisha mini bus iliyokuwa imebeba wanafunzi na bus la Ngorika. Polisi twaomba muwe makiniJana Hapa KCMC hos. huduma za x- ray zilisimama kwa muda kwa wagonjwa waliokua wanasubiri vipimo hivyo na wengine kupewa tarehe nyingine ya kuja kupatiwa huduma hiyo ili kupisha majeruhi wa ajali hiyo kufanyiwa x ray, mh. Lyatonga Mrema naye alifika KCMC akiwa ameongozana na majeruhi wa ajali hiyo.