Swagatwende
Member
- Mar 1, 2012
- 38
- 9
Kwa hakika hii Nchi inaudhi kibaya zaidi wapo wachache wanajaribu kucheza na maisha ya watanzania walala hoi wakidiriki hata kutumia dola inauma inaudhi this time WASIJARIBU
wadai na maslahi mengine sio mafao tuWametangaza kutokuwa na imani na waziri wa kazi Bi.Gaudencia Kabaka pamoja na mkurugenzi mkuu wa SSRA Bi. Irene Kisaka.
Ni katika muendelezo wa kupinga utekelezaji wa sheria mpya ya mafao ya kujitoa inayowalazimu wanacahama wa mifuko ya pensheni ya NSSF na PPF kutochukua mafao yao hadi watakapotimiza umri wa miaka 55. Pia wamedai waziri aliudanganya umma kupitia bunge alipokuwa akitolea ufafanuzi madai yao ya kupinga sheria hiyo.
Walikuwa wakizungumza katika mkutano uliowakutanisha wawakilishi wa Jumuiya za wafanyakazi wa migodi ya kanda ya ziwa.
Wameitaka serikali kuandaa risasi za kutosha, mabomu ya kutosha, makaburi ya kutosha na magereza ya kutosha kwakuwa katika bunge lijalo la mwezi wa 11 kama sheria hiyo haitasitishwa nao hawatakubali kamwe kunyimwa mafao yao kwa kutumia sheria kandamizi.
Source ITV.
Kwa hakika hii Nchi inaudhi kibaya zaidi wapo wachache wanajaribu kucheza na maisha ya watanzania walala hoi wakidiriki hata kutumia dola inauma inaudhi this time WASIJARIBU
Kweli ndugu yangu......waamke wapaze sauti zao kwa pamoja manake wakizubaa watajaachwa......afu watakosa pa kulalamikia manake na sisi tutawauliza walikuwa wapi siku zote?