Ni siku chache tu zimepita Rais kikwete amewabeza wafanyakazi na kutolea mifanoya mbayuwayu.
Sasa anajifanya kutembelea Dar es Salaam, najua atajifanya kuongea na wafanyakazi ktk maeneo yenu sasa ndiyo wakati wa kumuonyesha kuwa hamkupendezwa na kauli zake za kejeli.
Mwacheni aongee na atakaokuja nao kwenye msafara tuone kama yeye ataona raha.
Sasa anajifanya kutembelea Dar es Salaam, najua atajifanya kuongea na wafanyakazi ktk maeneo yenu sasa ndiyo wakati wa kumuonyesha kuwa hamkupendezwa na kauli zake za kejeli.
Mwacheni aongee na atakaokuja nao kwenye msafara tuone kama yeye ataona raha.