Wafanyakazi wa Dar susieni mikutano ya Kikwete

Magezi

JF-Expert Member
Oct 26, 2008
3,359
692
Ni siku chache tu zimepita Rais kikwete amewabeza wafanyakazi na kutolea mifanoya mbayuwayu.

Sasa anajifanya kutembelea Dar es Salaam, najua atajifanya kuongea na wafanyakazi ktk maeneo yenu sasa ndiyo wakati wa kumuonyesha kuwa hamkupendezwa na kauli zake za kejeli.

Mwacheni aongee na atakaokuja nao kwenye msafara tuone kama yeye ataona raha.
 
Sioni sababu ya wafanyakazi kuwepo ama kutokuwepo katika ziara yake kwani wala hawataongeza wa kupunguza lolote. Wakihuduria kwa wa TZ ninavyowajua kumuona JK tu watatamani hata kumuomba msamaha kwa kupanga mgomo.....tunaogopa dola kweli!
Pili sidhani kama rais ataongeza au kupunnguza lolote hata wakienda ama wasipoenda kwa sababu kwa tathmin yake ni kwamba miaka 8 ijayo serikali haiwezi kuwaweka wanapotaka...msimamo huu unaonekana hauwezi kubadilishika hata kama watahudhuria au hawata hudhuria
Lakini zaidi ni kwamba wamachinga, wa mama wa nyumbani wauza vitumbua,wanafunzi hilo tukio kwa ni la muhimu sana watajazana sana wakiimba na kumshangilia kila atakapopita kwa iyo uwepo au kutokuwepo kwa wafanyakazi kwenye mikutano hakuna tija kivileeeeeeee

Usidhani huu ujio kapanga jana jioni wenzaako washamwandalia vikundi vya mganda,zeze na wauliza maswali ka iyo kusema kuwa ataongea na watu wa msafara wake ili ajisike upweke hilo halipo........wanachama na wapenzi wake wapo tayari kumpokea
 
Sioni sababu wa wafanyakazi kwenda kwa kikwete kwani alishatukana hadharani kwa yoyote atakaekwenda kama si punguani basiatakuwa kwenye payroll ya mafisadi.
 
Hivi wenzangu nyinyi hamson dots na dashes JK kuna watu wanampenda sana na wanaamini kuwa amefanya kazi nzuri katika kipindi cha urais ingawa amekutana na vizingiti vingi kama ukame/kashfa za richmond/EPA/ Dharuba ya kuyumba kwa uchumi duniani.
Watu hawa ni wengi na vilevile kuna wengine hawampendi kuanzia haiba, chama chake hadi uongozi wake.
Wote kwa vile ni watanzania mnahaki zenu za kuamua lakini hakuna mnoja wenu mwenye haki ya kumnyang'aya mwenzake haki yake .
Mwanzoni mwa November sauti zetu zote zitakuwa zimekwisha ongea hivyo ni jukumu letu kubwa litakuwa kuheshimu tofauti zetu na kumuachia mshindi aendelee. Sisi kama wanajamii tutatakiwa kutoa ushirikiano wa kutoa alternative options badala ya kukaa na kulalamika na kuponda kila kitu.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom