King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,603
- 68,512
Hi GT,
Nawashauri tujiondoe katika hivyi vyama vya wafanyakazi kwani naona havina msaada wowote bali kutula tu hela zetu,yani chama kimoja tu cha TAMICO(migodi) ndio naona kipo strong lkn vingine vyote vimelala! Hakuna cha Mgaya wala nini wote kimya,chonde chonde wanfanyakazi tujitoeni ktk hvyo vyama na kuwaomba wanasheria wa TAMICO watusimamie!
Nawasilisha.
Nawashauri tujiondoe katika hivyi vyama vya wafanyakazi kwani naona havina msaada wowote bali kutula tu hela zetu,yani chama kimoja tu cha TAMICO(migodi) ndio naona kipo strong lkn vingine vyote vimelala! Hakuna cha Mgaya wala nini wote kimya,chonde chonde wanfanyakazi tujitoeni ktk hvyo vyama na kuwaomba wanasheria wa TAMICO watusimamie!
Nawasilisha.