Wafanyakazi, mishahara ya July vipi?

Baypot nyie wezi mkopo kidogo makato sana.mtu anakopo laki tatu anakatwa 28000/= kila mwezi kwa muda wa miezi 36.
 
mh gfsonwin, unaisema kama mzaha vile...tumepigika kitaa ujue!

aah! Mentor kwani wewe umeajiriwa siku za karibuni? binafsi nimeshazoeaga mishahara ya mwez july kuipata tarehe 38-39 na ni mwaka wa 10 sasa kazini so sishangai hata kidogo mkuu.
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli mkuu ni kazi inayohitaji umakini lakini i hope ingekuwa bora kila wizara ikipitishiwa bajeti yake mchakato uanze mara moja la sivyo itakuwa ngumu kuupata mshahara wa mwezi julai kwa wakati kwani kuna baadhi ya wizara bajeti zao zaanza somwa agosti. Mi nadhani hii yote ni kasumba ya utendaji wa mazoea
Mishahara ya watumishi wa umma haina mahusiano na hizi bajeti za kila Wizara zinazosomwa Bungeni, Wizara ya Fedha na ile inayohusu mambo ya Utumishi zikishamaliza basi.
 
kwa nini tunalea uzembe tukisema ni kawaida?
bajeti imesomwa june sasa kwa nini hadi leo wacheleweshe ? naita ni uzembe mkubwa
sioni cha kawaida hapa.
July nikawaida mishahara kuchelewa kwaajili ya marekebisho na nyongeza za mishahara.Kazi hii inafanywa kwa umakini ili mtua aongezewe stahili yake bila kuchanganywa na yamtu mwingine aidha kwa kupunjwa au kuongezwa asivyostahili. Ni kazi inayohitaji umakini.
 
aah! Mentor kwani wewe umeajiriwa siku za karibuni? binafsi nimeshazoeaga mishahara ya mwez july kuipata tarehe 38-39 na ni mwaka wa 10 sasa kazini so sishangai hata kidogo mkuu.
serikalini nimeingia juzijuzi tu wangu...
 
Last edited by a moderator:
Mpaka leo 31/7/2012 waliopata mshahara wa july ni wanajeshi tu.Wafanya kazi wa serikali bado.Walimu na kada nyingine si chochote kwa serikali.Tatizo ni nini maboresho au ndo kufirisika?Kama kuna halimashauri wameripwa tujuze na sisi waliopembezoni tuandamane.
 
Salary hakuna hapa Arusha!
JK na serikali yake walishasema mshahara ni @ trh 23! Iweje sasa hadi 31?
Kuna kitu nyuma ya pazia!
Hata wacpotoa mshahara mgomo uko palepale!
 
Nimelala baa leo,chadema wanauza ile meli ya iran yenye bendera ya Tanzania mshahara Mwanza tumeisharamba. Tusker no! Ile pombe aliyoacha Kanumba kwenye chumba chake inaitwaje niionje?
 
Mshahara mpaka tarehe mosi agost. Kuna system mpya inaanza kutumika serikalini ... epica... kwa hiyo wanataka ianze kusoma mishahara tarehe mosi.

Baba mwenye nyumba hajui hayo maboresho cjui epic au epica, lazima adai chake kwa nguvu zote. Tena keshasikia salary juu? Ngachoka kabsaa.
 
Mpaka leo 31/7/2012 waliopata mshahara wa july ni wanajeshi tu.Wafanya kazi wa serikali bado.Walimu na kada nyingine si chochote kwa serikali.Tatizo ni nini maboresho au ndo kufirisika?Kama kuna halimashauri wameripwa tujuze na sisi waliopembezoni tuandamane.


walikuwa wanachota hela zetu kwenye mashirika ya mifuko ya jamii sasa zimeisha. Sijui watakopa wapi mshahara wa mwezi huu
 
Mpwapwa kada zote sijasikia kuna aliyelipwa till nw. Hatuelewi what went wrong.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom